Kutokomeza Giza la Demokrasia
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika Uislamu, rai ya walio wengi haizingatiwi kuhusu uamuzi wa Mola Mlezi wa walimwengu wote, na kwamba sheria inapaswa kuwa ya Mwenyezi Mungu (swt) pekee. Hivyo, katika mfumo wa Kiislamu neno la mwisho kabisa ni la Mwenyezi Mungu (swt).