Kikokotoo Kipya cha Pensheni ni Janga kwa Wastaafu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hivi karibuni serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu ilitangaza kikokotoo kipya kwa ajili ya wastaafu ambacho kitaanza kutumika mwezi wa saba (Julai) mwaka huu 2022.