Sera za Kirasilimali Zinakuza Kiwango cha Uzazi Jumla (TFR) kuwa Chini
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kenya: Kaunti ya Mandera inaongoza kwa kiwango cha uzazi cha juu kikiwa ni 8, ikifuatiwa na Kaunti ya Marsabit kikiwa ni 7, Wajir kikiwa ni 6.7, Turkana kikiwa ni 6.4, Pokot Magharibi kikiwa ni 5.6, Samburu kikiwa ni asilimia 4.9.