Machafuko ya Kisiasa nchini Tanzania ni Uso wa Unafiki wa Demokrasia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo 10/03/2020, mahakama nchini Tanzania iliwapata na hatia na kuamua kwamba baadhi ya viongozi wakuu wa upinzani wa Chadema walipe faini au watumikie kifungo gerezani kwa mashtaka yanayohusiana na maandamano yaliyopigwa marufuku, uhaini na mashtaka mengine.