Ongezeko la Kodi katika Nishati ya Mafuta Kutaathiri Zaidi Maskini
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (EWURA) imetoa kikomo cha bei mpya za jumla na reja reja za bidhaa za mafuta ya petroli ambazo zitaanza kutumia kuanzia Alkhamisi tarehe 01/07/2021,