Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kutokana na Mikutano na Maandamano kote Nchini, Wanafunzi na Watu Jumla Wanataka Ukombozi wa Palestina

Watu jumla na hasa wanafunzi wa ngazi zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, vyuo na shule mashuhuri nchini humu, wamekasirishwa na kuendelea kwa mauaji ya Waislamu wa Palestina na umbile lililolaaniwa la Kiyahudi, na kutokana na mikutano mbalimbali, maandamano yenye mfano minyororo ya kibinadamu, wanataka ukombozi wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina.

Soma zaidi...

Kisimamo cha Hizb ut Tahrir katika Mji wa Sidon “Ee Jeshi la Kinana, Wakati Umewadia”

Katika msururu wa visimamo vilivyofanywa na Hizb ut Tahrir katika Wilayah ya Lebanon, kuinusuru Gaza na ukakamavu wake dhidi ya mashini ya kihalifu ya kijeshi ya umbile la Kiyahudi, na kuyachochea majeshi kuchukua nyadhifa za fahari zinazohitajika kutoka kwao, hasa jeshi la Kinana Misri, jeshi la Jordan, na majeshi ya Waislamu, ambayo yanaorodheshwa kati ya majeshi ya kwanza duniani kwa idadi na vifaa.

Soma zaidi...

Wito wa Dhati kutoka Tanzania: Majeshi ya Waislamu Lazima Yasonge Mbele Mara Moja ili Kuiokoa Gaza

Kufuatia kampeni inayoendelea dhidi ya mauaji ya kihaiki, maumivu na dhulma za Waislamu wa Gaza zinazofanywa kikatili na umbile nyakuzi la Kiyahudi kwa msaada wa Marekani na mataifa mengine ya Kimagharibi, Hizb ut Tahrir / Tanzania imejitolea Ijumaa ya leo katika kuendesha dua maalum kwa Waislamu wa Gaza katika misikiti mbalimbali ya Tanzania.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Kenya Yafanya Visimamo vya Kushutumu Kitendo cha Kikatili cha Umbile la Mauaji la Kiyahudi cha Kulipua Mabomu Rafah

Kufuatia kitendo cha kinyama na cha kusikitisha cha umbile la Kiyahudi cha kulipua mabomu katika Kambi za Wakimbizi huko Rafah, usiku wa tarehe 26 Mei 2024, Hizb ut Tahrir / Kenya ilifanya visimamo vya kulaani baada ya swala za Ijumaa katika maeneo mbalimbali jijini Nairobi, Mombasa, Malindi, Kilifi na Kwale.

Soma zaidi...

Mumewaachia Nini Wananchi Baada ya Mkate?! Dumisheni Usaidizi wenu na Muregeshe Haki za Watu

Dkt. Mostafa Madbouly, Waziri Mkuu, alitangaza ongezeko la bei ya mkate iliyofadhiliwa kutoka piaster 5 hadi piaster 20 kuanzia Juni ijayo. Madbouly aliongeza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo kwamba gharama ya mkate kwa serikali inafikia piasters 125, lakini iliuzwa kwa piaster 5 pekee, hivyo serikali ina gharama ya ruzuku ya pauni bilioni 120.

Soma zaidi...

Inatosha Inatosha, Hali Haivumiliki Tena Baada ya Mauaji ya Mahema, Ni Kipi chengine Kitausukuma Ummah na Majeshi yake?!

Mnamo siku ya Jumatatu, tarehe 27/5/2024, Wizara ya Afya huko Gaza ilitangaza kwamba idadi ya waliouawa kutokana na mauaji yaliyofanywa na vikosi vya uvamizi dhidi ya waliokimbia makaazi yao katika kambi ya mji wa Rafah imeongezeka hadi 45, wakiwemo wanawake 23, watoto na wazee, na waliojeruhiwa kufikia 249.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu