Damu Safi ya Waislamu haina Umuhimu kwa Watawala wao... Hivyo Adui Wao Muovu Anaimwaga kwa Wingi!
- Imepeperushwa katika Palestina
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mamia ya mashahidi na waliojeruhiwa ni matokeo ya operesheni ya kihalifu na mauaji ya kinyama yaliyotekelezwa na umbile la Kiyahudi leo, Jumamosi, tarehe 8/6/2024 katika kambi ya Nuseirat katika Ukanda wa Gaza.