Alhamisi, 09 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kujumuishwa kwa Aliyekuwa Msemaji wa Al-Shabab katika Serikali ya Kidemokrasia nchini Somalia

Mwanzilishi mwenza na msemaji wa zamani wa harakati ya Mujahidina ya Al-Shabab, Mukthar Robow ameteuliwa kuwa Waziri wa Masuala ya Kidini na Waziri Mkuu wa Somalia. "Tunakaribisha uteuzi wake. Hatua hiyo itaendeleza maridhiano na itakuwa mfano mzuri kwa uasi wa ngazi za juu kutoka al-Shabab," alisema mchambuzi wa kisiasa Mohamed Mohamud.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Idlib “Jikomboeni kwa Nguvu Kutokana na Utegemezi na Chukueni kwa Nguvu Mradi wa Khilafah... Mwenyezi Mungu Atakunusuruni”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Idlib yaliyo anza katika msikiti wa Al-Hussein baada ya swala ya Ijumaa na yakanyanyua kauli mbiu “Jikomboeni kwa Nguvu Kutokana na Utegemezi na Chukueni kwa Nguvu Mradi wa Khilafah...

Soma zaidi...

Wale Wanao Halalisha (Mahusiano) na Umbile la Kiyahudi Watapata Fedheha Katika Maisha Haya ya Duniani na Adhabu Kali Akhera

Tangazo la uamuzi wa kubadilishana uteuzi wa mabalozi lilichukuliwa kama moja ya hatua za mchakato wa kuhalalisha mahusiano unaoendelea kati ya Uturuki na umbile nyakuzi la Kiyahudi tangu mwaka jana. Wakati Waziri Cavusoglu aliposema: "Kama Uturuki, tumeamua kumteua balozi huko Tel Aviv.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu