Alhamisi, 09 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Killi “Hakuna Maridhiano wala Hakuna Suluhisho la Kisiasa na Serikali ya Mhalifu.”

Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria iliandaa maandamano katika mji wa Killi kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Hakuna Maridhiano wala Hakuna Suluhisho la Kisiasa na Serikali ya Mhalifu”.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria Maandamano ya Wanaharakati wa Kike (Shaabat) wa Hizb ut Tahrir “Wanawake wa al-Sham Wanalia kwa Sauti Kuu, Yuko Wapi Mu’tasim! Je, Kuna Yeyote wa Kuitikia Kilio Chao?"

Wanaharakati wa kike (Shaabat) wa Hizb ut-Tahrir / Wilayah Syria waliandaa maandamano katika mji wa Idlib kupinga kauli za khiyana za hivi karibuni za serikali ya Uturuki zinazotaka kuwepo na mazungumzo kati ya wanamapinduzi na utawala wa kihalifu wa Bashar al-Assad, yenye kichwa “Wanawake wa al-Sham Wanalia kwa Sauti Kuu, Yuko Wapi Mu’tasim! Je, Kuna Yeyote wa Kuitikia Kilio Chao?"

Soma zaidi...

Uongozi wa Kisiasa na Kijeshi wa Pakistan Umefungwa ndani ya Mapambano Duni ya Kung’ang’ania Utawala, Huku Maeneo Makubwa ya Nchi Yakikumbwa na Mafuriko

Maeneo makubwa ya Pakistan yanakumbwa na mafuriko kutokana na mvua kubwa za masika. Kulingana na NDMA, tangu Juni 12, watu 903 wamekufa, watu 1293 wamejeruhiwa, karibu nyumba 300,000 zimeharibiwa kwa kiasi na nyumba 200,000 zimeharibiwa kabisa.

Soma zaidi...

Amerika, Urusi, China na Wafuasi Wao Wanacheza na Moto Na Hakuna Yeyote kati yao Aliyeko kwa ajili ya Manufaa ya Dunia

Imekuwa dhahiri kuwa Utawala wa Biden, una nia mbaya kama watangulizi wake. Katika kipindi cha miezi michache tu, umethibitisha kwamba katika madhumuni ya kudumisha ubabe wake juu ya uchumi wa dunia hauna tatizo lolote katika kuleta hali yoyote ya kisiasa duniani kwenye njia panda.

Soma zaidi...

Pendekezo la Kupiga Marufuku Hijab ni Tangazo la Vita dhidi ya Jamii ya Kiislamu

Serikali mbalimbali za Denmark kwa muda mrefu zimefuata sera ya chuki dhidi ya Uislamu iliyo dhihirishwa kwa sheria zinazolenga maadili na mfumo wa maisha wa Kiislamu. Serikali ya sasa inataka kupiga hatua kubwa mbele katika mapambano yake ya kidhalimu ya kuwaoanisha kwa nguvu Waislamu nchini Denmark.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu