Hizb ut Tahrir / Australia Muhanga – Kichocheo cha Mabadiliko!
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Muhanga – Kichocheo cha Mabadiliko!
Muhanga – Kichocheo cha Mabadiliko!
Kitengo cha wanawake katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Inusuruni Jabal Al-Zawiya na Daraa na Mfungue Vita na Muiangushe Serikali!"
Wakati Taliban ikijikusanyia wilaya zaidi na kusonga kuelekea Kabul, serikali ya India imeendelea kukosa subira kwa kuwa ushawishi wake jijini Kabul utafutika kabisa.
Ni vigumu kupita siku bila ya kuwepo habari kutoka China, ima itakuwa ni katika GDP yake, meli za kubebea ndege, akili bandia, mabwawa yake ya umeme, reli za kasi au miji ya kifahari.
Katika muda wa miaka 10 kamili iliyopita, Erdogan, alipokuwa bado ni Waziri Mkuu wa Uturuki wakati huo, alitembelea Misri na kukutana na wawakilishi wa makundi tafauti na vyama vya kisiasa, pamoja na wagombea uraisi, katika kipindi cha mpito baada ya utawala wa Mubarak, ambao umeangushwa na Mapinduzi ya Kiarabu.
Miongoni mwa mbinu zitumiwazo na Marekani ni kushambulia nchi adui ama pinzani kwa nguvu za kijeshi, kuangamiza ama kuihusuru. La ziada, Marekani hutua kwenye mbinu ya kisiasa na kiuchumi katika kile kiitwacho sera ya udhibiti.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini Tanzania (EWURA) imetoa kikomo cha bei mpya za jumla na reja reja za bidhaa za mafuta ya petroli ambazo zitaanza kutumia kuanzia Alkhamisi tarehe 01/07/2021,
Kisimamo katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Daraa Kutoka kuwa ni Kaa la Moto Chini ya Majivu Hadi kuwa ni Moto Wenye Kuwaunguza Matapeli!"