Kuswali Swala ya Ijumaa katika Uga wa Msikiti Uliofungwa na Mamlaka
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Baadhi ya Mashababu na watu nchini Tunisia waliswali swala ya Ijumaa mbele ya misikiti baada ya kufungwa na mamlaka. Baadhi ya maimamu waliwakana na wakazichukulia swala zao kuwa batili, ikizingatiwa kuwa swala za Ijumaa huswaliwa ndani ya msikiti pekee.