Katika Kipindi cha Mwezi Uliobarikiwa wa Ramadhan, Wito wa Kuachiliwa Huru Naveed Butt, Mtetezi Halisi wa Khilafah, Aliyetekwa Nyara Tangu Mnamo 11 Mei 2012
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Mei 2021 M.
Maendeleo ya kisayansi na uvumbuzi yamegundua siri kama vile siri za falaki kwa wanaadamu ambazo hazikujulikana kabla.
Vichwa Vikuu vya Toleo 336
Mnamo tarehe 24 Aprili 2021, Jenerali Bajwa alikuwa na mazungumzo ya masaa saba na wanahabari, akifichua diplomasia ya mlango wa nyuma kati ya maafisa wa ujasusi wa Pakistan na India.