Khilafah Itakomesha Ugaidi
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Septemba 11, 2020 inaashiria kumbukumbu ya miaka 19 ya shambulio la 9/11, ambalo linachukuliwa kuwa tukio baya zaidi lililotokea kwenye ardhi ya Amerika.
Septemba 11, 2020 inaashiria kumbukumbu ya miaka 19 ya shambulio la 9/11, ambalo linachukuliwa kuwa tukio baya zaidi lililotokea kwenye ardhi ya Amerika.
Hizb ut-Tahrir alifanya amali kadhaa katika wiki iliyopita, huku wiki iliyopita ikianza mnamo Septemba 11, 2020 , kwa hotuba kubwa huko Omdurman kaskazini kwa anwani:
Utawala wa Marekani umeitaka Kenya kuunga mkono maslahi ya kisiasa na kibiashara ya taifa la ‘Israel’ la sivyo iachane kabisa na mkataba wa kibiashara huria (Free Trade Deal- FTA) iliosaini na taifa hilo kubwa la kiuchumi duniani.
Hizb ut-Tahrir / Wilayah Sudan inafurahi kuwaalika kuhudhuria kikao cha Kadhia za Ummah, na ni heshima kwake kushiriki kwenu ndani ya mkusanyiko wa wanasiasa, wanahabari, na watu wa maoni,
Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imekataa pingamizi dhidi ya 'uamuzi wa kutoihukumu 'Israel' uliochukuliwa na Afisi ya Mashtaka kuhusiana na meli ya Mavi Marmara ambayo Waturuki 9 waliuwawa.
Maandamano yamezuka wiki hii nchini Misri. Katika majimbo ya Al-Qanater, Qalyubia, waandamanaji waliandamana kupitia vichochoro ili kukomesha kushambuliwa na vikosi vya usalama.
Baadhi ya watu wenye chuki walipanga kuzichoka nakala za Quran Tukufu kwa njia ya kuchukiza, mbaya nje ya msikiti mmoja mjini Malmö Ijumaa iliyopita.
Vichwa Vikuu vya Toleo 305
Suala la Palestina limewachosha Wamagharibi katika jitihada zao za kuweka ‘suluhisho,’ tokea kuundwa kwa umbile la Kiyahudi katika Ardhi Tukufu ya Palestina. Wamagharibi hawakuweza kupandikiza umbile hili kimaumbile ndani ya umbo safi la Ummah wa Kiislamu, bila kupingwa.
Katika mahojiano ya mnamo 12 Disemba 2012 pamoja na BBC, alipoulizwa kuhusu ni nani atakayeshinda uchaguzi wa Pakistan wa Mei 2013, aliyekuwa Balozi wa Amerika wakati huo Richard Olson alitangaza kwa ujasiri mkubwa, "Farasi wetu ni demokrasia."