Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 343
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 343
Vichwa Vikuu vya Toleo 343
Mnamo tarehe 11 Juni 2021, katika tangazo lao la bajeti, watawala wa Pakistan walifanya shangwe kubwa ya kupunguza ushuru kwa sekta fulani na kuongeza mishahara ya wafanyikazi wa serikali
Mnamo Ijumaa, 11 Juni 2021 Rais Uhuru Kenyatta alimpongeza Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson kwa kuahidi milioni £430 (takribani bilioni Ksh65) kwa kampeni ya Ushirikiano wa Kimataifa kwa ajili ya Elimu.
Raisi wa Marekani Joe Biden anataka kusafisha sura mbaya ya Marekani ndani na nje ya nchi baada ya kuchukua hatamu kutoka kwa Trump.
Alhamisi Tarehe 10, Juni 2021 Waziri wa Fedha Ukur Yattani alisoma bajeti ya mwaka 2021/2021 ya Shilingi trilioni 3.632.
Zaidi ya miaka tisa imepita tangu serikali nchini Pakistan imteke nyara mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan, na tangu alipotekwa nyara haijulikani alipo!
Jarida la Mukhtarat kutoka Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Toleo 7 Sha'aban 1433 H - Juni 2012 M
Jarida la Mukhtarat kutoka Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Toleo 8 Ramadan 1433 H - Julai 2012 M
Jarida la Mukhtarat kutoka Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Toleo 9 Shawwal 1433 H - Agosti 2012 M
Jarida la Mukhtarat kutoka Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir. Toleo 10 Dhu al-Qi'dah 1433 H - Septemba 2012 M