Kufanya Hima Juu ya Sharia Huvunja Fikra ya Kuchelewesha Mambo
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tuko katikati ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Kama Waislamu, tunafahamu baraka na malipo yanayo ambatana na mwezi huu mtukufu.
Tuko katikati ya mwezi mtukufu wa Ramadhan. Kama Waislamu, tunafahamu baraka na malipo yanayo ambatana na mwezi huu mtukufu.
Kwa mara ya pili wiki hii, Mamlaka ya Tunisia kimakusudi imeamua kuihusisha mahakama ya kijeshi katika kuishtaki Hizb ut Tahrir katika mashtaka mawili.
Michango ya mashababu wa Hizb ut Tahrir wakati wa Kongamano la Tatu – Dhidi ya Ufisadi lililokuwa kwa anwani “Ufisadi wa Kisiasa” lililo andaliwa na Baraza la Mahakama kuhusu Sheria, Haki na Usalama –Tunisia.
Hizb ut Tahrir / Wilaya Tunisia: Kalima ya Ustadh Abdel Raouf Amiri Kuhusu Mashtaka ya Kijeshi ya Hizb ut Tahrir nchini Tunisia
Hukumu ya Mounir Amara, afisa wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Tunisia
Hizb ut Tahrir / Wilaya Pakistan ya andaa kampeni pana ya mtandaoni ya kutaka kuachiliwa huru kwa Naveed Butt, Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan.
Chini ya muongozo wa Amir wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu Swt Amuhifadhi, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir imezindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio la Kumbukumbu ya Hijiria ya Ukombozi wa Kostantinopoli #Kostantinopol...
Kinapo zungumzia kuhusu vitendo vinavyo tukia ndani ya mzunguko unaomtawala mwanadamu katika upande usiokuwa wa kanuni za moja kwa moja za Ulimwengu, katika ukurasa wa 94 (nakala ya Kiarabu) kinaeleza, baada ya kutaja mifano, "na hivyo basi hatutalipwa ujira wa kuadhibiwa".
Kama tutaichunguza historia ya maambukizi kwa upande wa muda na mahala, tungeweza kuona kuwa mataifa hayakuwa huru kutokana na udharura na kuenea, kama tauni, ikiwemo tauni nyeusi na homa ya mafua ya aina zote...
Katika kauli iliyotolewa Ijumaa, 24/4/2020, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha ombi la Sudan kuidhinisha Umoja wa Mataifa kuzindua mpango wa kisiasa, chini ya sura ya sita, kuanzia Mei, (Sudan Tribune).