Serikali "Imevalia" Janga la Ugonjwa wa Korona na Kutekeleza Amri ya Kutotoka nje ili Ipitishe Maagizo ya Shirika la Fedha la Kimataifa na Watu Kuponda Masikini waliobakia
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kamati Kuu ya Dharura za Kiafya imeamua kutekeleza amri ya kutotoka nje katika jimbo la Khartoum, kuanzia Jumamosi ijayo kwa mda wa wiki tatu.