Tishio la Urasilimali kwa Wanadamu Mfumo wa Kisekula Umefichuka; Uislamu Ndio Badali ya Kweli
- Imepeperushwa katika Uingereza
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Tunaishi katika zama ambazo uongo, habari potofu na tuhma zisizo na msingi ni jambo kawaida kabisa, na marais, mawaziri wakuu na vyombo vikuu vya habari hunadi batili hii kila siku bila ya aibu.



