Jumatano, 29 Jumada al-awwal 1447 | 2025/11/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ikiazimia Kukwepa Hatua za Kivitendo za Kuikomboa Kashmir, Serikali ya Bajwa-Imran Yawasaliti Waislamu Kupitia Taratibu za Kiishara

Sera ya kuisalimisha Kashmir ilianzishwa na Musharraf kwa maagizo ya Amerika. Sasa, ili kuikomboa Kashmir Pakistan haina chaguo jengine, isipokuwa kutumia nguvu za kijeshi, baada ya serikali ya Modi kufutilia mbali hadhi spesheli ya Kashmir na kuiunganisha kwa lazima na Muungano wa India, ambao huu ni msitari wa mwisho mwekundu kuvukwa na India.

Soma zaidi...

Muendelezo wa Unyonyaji wa Kikoloni Barani Afrika

Mnamo 2019, Luigi Di Maio, aliyekuwa naibu wa waziri mkuu wa Ufaransa na waziri wa masuala ya kigeni kwa sasa alisema “Ufaransa ni miongoni mwa nchi ambazo zinachapisha fedha kwa nchi 14 za Afrika ikizuilia ukuaji wao wa kiuchumi na kuchangia ukweli kwamba wakimbizi wanatoka na kisha kufa baharini ama kufika katika pwani zetu.”

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu