Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka "Risala kwa Maafisa na Wanajeshi!"
- Imepeperushwa katika Al-Waqiyah TV
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka "Risala kwa Maafisa na Wanajeshi!"
Al-Waqiyah TV: Ujumbe wa Haraka "Risala kwa Maafisa na Wanajeshi!"
Mnamo Jumatano, 7 Oktoba 2020 Hakimu Mkuu mjini Nairobi Francis Andayi alihukumu kuwa Liban Abdillahi Omar hana makosa katika tukio la kigaidi la Westgate.
Utafiti wa karibuni umeonyesha kuwa kuna muanguko wa dini kiulimwengu. Ikiangaliwa katika jamii za Kimagharibi, na kukua kwa uliberali wa kisekula, hili halishangazi.
Uingereza: Kongamano la Kila Mwaka "Kurudi kwa Mfumo wa Kiulimwengu wa Kiislamu"
Vedat Kurnaz alijitolea maisha yake kama Muislamu mwenye ikhlasi na mwaminifu aliyefanya kazi ya kuregesha tena maisha kamili ya Kiislamu,
Kalima ya Ustadh Nijmadeen Chaiben, Mwanachama wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia Kuhusu Makubaliano ya Khiyana ya Kijeshi Baina ya Tunisia na Amerika.
Vichwa Vikuu vya Toleo 308
Mimbari ya kila wiki ya Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan – eneo la Omdurman, Kaskazini – ilifanywa mnamo siku ya Ijumaa Oktoba 2, 2020, katika Soko la Sabreen chini ya anwani: "Wimbi la Usawazishaji Mahusiano … Je, watawala wa Sudan watajiunga na kundi la wanaodhihirisha khiyana kubwa?"
Shekhe wetu mkubwa, Mwenyezi Mungu azibariki juhudi zenu, aziongoze hatua zenu, akupeni kilicho bora zaidi, akudhalilishieni magumu, na atupe nguvu ya nusra ya dini yake.
Katika zama zetu, kujitolea kwa maswala ya kifamilia, uzazi, masomo, taaluma, au biashara huja kabla ya kujitolea kwa majukumu yetu ya Kiislamu kwa jamii ya Kiislamu (jamaa’ah) na Dini.