Milipuko Yafichua Kufeli kwa Serikali
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mlipuko mkubwa katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, umewauwa kwa uchache watu 70 na kuwajeruhi zaidi ya 4,000 wengine, waziri wa afya alisema.
Mlipuko mkubwa katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, umewauwa kwa uchache watu 70 na kuwajeruhi zaidi ya 4,000 wengine, waziri wa afya alisema.
Afisi Kuu ya Habari: Ulinganizi wa Kiulimwengu wa Kusimamisha Khilafah Rashidah kwa Njia ya Utume Sehemu ya 48
Vichwa Vikuu vya Toleo 298
Assalam Aleykum wa Rahmatullah wa Barakatuh. Sheikh mpendwa, natumai Mwenyezi Mungu atakamilisha amri yake mikononi mwenu na atukirimu kwa Dola ya Khilafah karibuni, na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu juu ya hilo…
Hizb ut Tahrir / Wilaya Pakistan: Ushuhuda wa Musab Umair Kuhusu Naveed Butt!
Pendekezo juu ya ugawanyaji wa mapato baina ya kaunti ambalo litayapa mapendeleo makubwa maeneo yaliyo na idadi kubwa ya watu limesababisha mgawanyiko mkubwa katika bunge la Seneti.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon inamuomboleza shahidi Ahmed Saleh Al-Ali, ambaye mauwaji yake yaliothibitika kufanywa na mikono ya serikali ya kihalifu ya familia ya Assad nchini Syria,
Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kwanza ya uunganishwaji kwa nguvu wa Kashmir iliyo kaliwa na Muungano wa India, 5 Agosti 2020, serikali ya Bajwa-Imran imetoa wimbo kupitia ISPR
Assalamu Alaikum wa Rahmatullahi wa Barakatuh Sheikh Wetu, Mwenyezi Mungu akufungulie mikononi mwako, akubali utiifu wako, na atuharakishie nusra na tamkini.
Swali langu kwako, sheikh wangu, ni kuwa wauzaji magari na maonyesho ya magari wanapomuuzia mteja gari kwa malipo ya polepole, hawalisalimishi hadi hundi ya mwisho ya malipo