Jumapili, 11 Muharram 1447 | 2025/07/06
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Taasisi za Dola Nchini Tanzania Zimewakamata kwa Dhulma Wanachama Watatu wa Hizb ut Tahrir Bila ya Sababu Yoyote!

Hizb ut Tahrir / Tanzania inashutumu vikali vitendo vya mamlaka za dola zilizo wakamata wanachama wake watatu na kuwafungia pasi na kuwa na mawasiliano yoyote bila ya maelezo au uwakilishi wa kisheria kwa zaidi ya mwezi mmoja kinyume na sheria kisha kubuni mashtaka ya uongo na maovu dhidi yao ya 'njama ya kutekeleza ugaidi' na 'utekelezaji ugaidi'. 

Soma zaidi...

Wajumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Walikutana na Naibu Katibu wa Kwanza wa Wizara ya Habari na Utamaduni

Wajumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan walikutana na Ustadh Ar-Rashid Saeed Yaqoub, Naibu Katibu wa Kwanza wa Wizara ya Habari na Utamaduni, na aliyepewa jukumu la mkurugenzi wa Mamlaka ya Kitaifa ya Redio na Runinga katika afisini mwake mnamo Jumatatu 06/01/2020.

Soma zaidi...

Ufahamu wa Kimakosa Kuhusu Hizb ut Tahrir kuwa ni 'Chama cha Kisiasa'

Mara tu baada ya kumalizika kwa Kongamano la Kimataifa la Khilafah lililo andaliwa na Hizb ut tahrir Afrika Mashariki mnamo 27 Rajab 1430 H (19 Julai 2009) katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni, Dar es Salaam, kongamano la kipekee lililo faulu lililo hudhuriwa na maelfu ya watu wa jinsia zote mbili, hisia mchanganyiko ziliibuka hususan kuhusiana na ufahamu wa kimakosa kuhusu maana ya Hizb ut Tahrir kuwa ni chama cha kisiasa.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uholanzi Amali Zilizo Andaliwa kipindi cha Kampeni ya Kulimwengu, “Ukombozi wa Konstantinopoli Bishara Njema Ikatimia …Inafuatiwa na Bishara Njema Nyingine!”

Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ili zindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio Adhimu la Hvijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraclius) ambao ulizungukwa kuanzia mnamo 26 Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili mpaka 29 Mei 1453 M na hivyo bishara njema ya Hadith tukufu ya Nabii (saw) ikatimia:

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu