Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 295
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 295
Vichwa Vikuu vya Toleo 295
Sheikh wangu, tafadhali niruhusu, niulize swali: mwanamke aliye poswa, endapo mumewe amefariki, je, ana eda? Je, atamrithi mchumba wake? Mwenyezi Mungu kulipe kheri iliyo bora.
Jukumu la Waislam “Kupinga Ukandamizaji”
Kufuatia mkutano wa waandishi habari wa wawakilishi wa familia tatu za mahabusu: Omar Salum Bumbo, Ramadhan Moshi Kakoso, na Waziri Suleiman Mkaliaganda mnamo 09 Julai 2020 huko Magomeni Makuti, Dar es Salaam,
Waziri Mkuu Hassan Diab alitangaza katika hotuba moja – baada ya kutia saini pamoja na Waziri wa Fedha Ghazi Wazni, mnamo Ijumaa 1/5/2020
Yaliyotokea Srebrenica kipindi cha vita vya Bosnia, yaliyopelekea kuibuka kwa msamiati wa kisiasa wa "Balkanization", lilikuwa ni doa jeusi katika historia ya siasa za kileo.
Licha ya udogo wake wa eneo, katika kipindi chote cha historia yake eneo la Balkan lilikuwa ni medani ya mivutano, vita vya kikatili, na uhamaji wa kimakundi. Huenda ikawa hakukua na eneo jengine duniani kama hili ambalo limekuwa ni la matukio ya kihistoria, sehemu ya kuibuka na kutoweka kwa mataifa mengi na ya aina tofauti, makabila, jamii na himaya
Kila mmoja anamwita Mamo (Mjomba) na ndio maana kamwe haikuwa vizuri kumwita Naveed Butt.
Unyanyasaji wa Trump wa Waandamanaji Wanaopinga Ubaguzi wa Rangi Inaonyesha Mgawanyiko Demokrasia Huru
Maoni ya Kisiasa ya Kila Wiki.