Australia Yajitolea kwa Ukaliaji wa Kimabavu wa Palestina Iliyosalia
- Imepeperushwa katika Australia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Serikali ya Australia imetangaza kuwa itakuwa sehemu ya ‘Jopokazi la Ujenzi Mpya wa Gaza’ la Trump, muungano unaoongozwa na Marekani wa dola za Magharibi, Waarabu na Waislamu uliopewa jukumu la kuondoa silaha kwa nguvu mjini Gaza na kukabidhiwa kwake baadaye kwa umbile vamizi.



