Ijumaa, 16 Muharram 1447 | 2025/07/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni mkubwa Sheikh Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, kwa Waislamu kwa Jumla na Mashababu (wa Hizb ut Tahrir) Hasa katika Sikukuu ya Idd Al-Adha 1446 H sawia na 2025 M

Idd hii inawasili na uvamizi wa Kiyahudi, unaoungwa mkono na Marekani na silaha zake, bado unaendelea dhidi ya Gaza Hashim na Palestina yote. Na watawala katika nchi za Waislamu wanatazama yanayotokea, mbora wao ni yule anayepatanisha kana kwamba yuko kundi lisilofungamana na upande wowote, bali yuko karibu zaidi na Mayahudi. Si ajabu kwamba Marekani, makafiri wakoloni na umbile lao, dola ya Kiyahudi, wanatushambulia. Ni maadui wa Uislamu na Waislamu, sio kuanzia leo bali wa miaka iliyopita.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi ya Ukombozi: “Gaza inakufa kwa Njaa huku Watawala Mabwege Wakiuzingira na Kufuja Mali za Umma”

Matembezi yalioandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia yalitoka katika mji mkuu wa Tunis, baada ya swala ya Ijumaa, mnamo tarehe 03 Dhu al-Hijjah 1446 H sawia na tarehe 30 Mei 2025 M kuanzia Msikiti wa Al-Fath kunusuru watu wa Palestina na Msikiti wa Al-Aqsa ulio mateka, ambayo yaliitishwa na watu wa Zaytouna Tunisia chini ya kichwa: “Gaza inakufa kwa Njaa huku Watawala Mabwege Wakiuzingira na Kufuja Mali za Umma”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Denmark: Kisimamo jijini Copenhagen cha Kuinusuru Gaza yenye Izza!

Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa zaidi ya miezi 19, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza uliozingirwa, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya elfu 185 hadi sasa, Hizb ut Tahrir/Denmark iliandaa kisimamo jijini Copenhagen cha kuwanusuru watu wetu mjini Gaza, na Palestina yote inayokaliwa kwa mabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Matembezi ya Takbir, Tahlil, na Tahmid 1446 H

Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon iliandaa maandamano ya Takbir, Tahlil, na Tahmid katika mji wa Tripoli, Syria, chini ya kauli mbiu "Tuko Pamoja nawe, ewe Gaza, tukipiga Takbir na Tahmid," kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za kwanza za Dhul-Hijjah 1446 H – 2025 M Idd al-Adha iliyobarikiwa. Matembezi hayo yalihitimishwa kwa dua ya kugusa moyo ya Sheikh Ahmed Al-Shamali.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu