Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
- Imepeperushwa katika Lebanon
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon: Khutba ya Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H – 2024 M
Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Afghanistan inatoa pongezi na salamu za dhati kwa Waislamu wote duniani kote kwa mnasaba wa Idd ul-Adha. Vile vile tunamuomba Mwenyezi Mungu (swt) azikubali swala, ibada, mapambano na mihanga ya Waislamu wote kwa Rehema zake na aikubalie Hijja yao.
Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Al-Mubarak 1445 H.
Pongezi kutoka kote ulimwengu kutoka kwa kundi la wabebaji da’wah miongoni mwa mashababu wa Hizb ut Tahrir kwa mnasaba wa Idd Al-Adha 1445 H.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa matembezi ya Takbira, Tahlil na Tahmid 1445 H katika mji wa Tripoli Ash-Sham kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za mwanzo za Dhu al-Hijjah mwaka wa 1445 H – 2024 H na Idd ul-Adha Iliyobarikiwa.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa matembezi ya Takbira, Tahlil na Tahmid 1445 H katika mji wa Deir Hassan kwa mnasaba wa ujio wa siku kumi za mwanzo za Dhu al-Hijjah mwaka wa 1445 H – 2024 H na Idd ul-Adha Iliyobarikiwa.
Maandamano ya 34 mfululizo, tangu kuanza kwa Kimbunga cha Al-Aqsa, yalifanyika mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu wa Tunis, ambayo yaliitishwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia kwa watu wa Zaytouna na kichwa chake kilikuwa “Ardhi ya Palestina ni ya Kiislamu na Haina Nafasi ya Mazungumzo!”
Hizb ut Tahrir inatoa pongezi na baraka zake za dhati kwa Umma wa Kiislamu, wenye kulemewa na majeraha na kustahamili shinikizo la moja kwa moja na lisilo la moja kwa moja la kikoloni. Kwa mnasaba huu, tunawataja makhsusi watu wetu wenye subira mjini Gaza Hashim na kwa jumla katika Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina, tukimuomba Mwenyezi Mungu azifanye siku za Idd hii kuwa chanzo cha utulivu wa nyoyo zao.
Watu jumla na hasa wanafunzi wa ngazi zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, vyuo na shule mashuhuri nchini humu, wamekasirishwa na kuendelea kwa mauaji ya Waislamu wa Palestina na umbile lililolaaniwa la Kiyahudi, na kutokana na mikutano mbalimbali, maandamano yenye mfano minyororo ya kibinadamu, wanataka ukombozi wa Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina.
Mnamo siku ya Alhamisi, tarehe 06/06/2024 M, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir/Wilayah Tunisia, ukiongozwa na Ustadh Abdul Raouf Al-Amiri, Mkuu wa Afisi ya Kisiasa, Ustadh Yassin Bin Yahya, Mwenyekiti wa Kamati ya Mawasiliano, na Ustadh Muhammad Al-Habib Al-Hajjaji, Mwanachama wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb, ulizuru makao makuu ya Shirika la Leba la Tunisia.