Jumanne, 28 Safar 1448 | 2026/08/11
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Kongamano la kila Mwaka la Khilafah “Kwa Khilafah Tunakabiliana na Udhibiti wa Marekani”

Mnamo Jumamosi 02 Mei 2026 M, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa kongamano la kila mwaka la Khilafah katika ukumbi wa mikutano na makongamano ulio katika makutano ya Sakiet Ariana katika mji mkuu wa Tunis, lenye kichwa: “Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Kutoepukika kwa Dola ya Khilafah”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Matembezi dhidi ya Ujanja wa Kijeshi wa Marekani katika ardhi ya Tunisia!

Mnamo Ijumaa, 17 Aprili 2026, matembezi yaliyoandaliwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, yalianza kutoka Msikiti wa Al-Fath jijini Tunis, mji mkuu, baada ya swala ya Ijumaa. Matembezi hayo yalikuwa na kichwa: “Ujanja wa Kijeshi wa Marekani kwenye Ardhi ya Tunisia ni Uhalifu.”

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir Wilayah Sudan: Amali na Shughuli Wakati wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan 1447 H

Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan iliongeza shughuli zake za umma wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan, ikihimiza jamii ya Waislamu kufanya kazi nayo ili kuanzisha jengo kuu la Uislamu: Khilafah Rashida kwa njia ya Utume, ambayo ilivunjwa miaka 105 iliyopita. Iliendesha hotuba za kisiasa, mihadhara, na visimamo katika viwanja vya misikiti, masoko, na maeneo mengine ya umma, pamoja na programu zake za kawaida katika afisi zake katika miji mbalimbali ya Sudan.

Soma zaidi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Omar Abdel Rahim Khatib (Abu Abdo Khatib)

Kwa kuamini qadhaa ya Mwenyezi Mungu Mtukufu, Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria inamuomboleza kwa Waislamu jumla, na kwa wabebaji dawah haswa, Ndugu Omar Abdul Rahim Khatib (Abu Abdo Khatib), mmoja wa wanachama wake, kutoka kijiji cha Arhab katika vijiji vya magharibi mwa Aleppo, na ambaye alifariki akiwa na umri wa miaka 50, ambayo aliitumia kwa utiifu kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Amali Kubwa “Iokoeni Al-Aqsa! Simameni dhidi ya Amerika!”

Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki, kupitia matembezi mikubwa na taarifa kwa vyombo vya habari zilizoandaliwa kote Uturuki chini ya kauli mbiu “Iokoeni Al-Aqsa! Simameni dhidi ya Amerika!”, ililaani ukandamizaji wa umbile nyakuzi la Kizayuni, kiburi cha mkoloni Amerika, na kimya cha watawala wa nchi za Kiislamu kuhusu udhalilishaji huu.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu