Mwaliko wa Kuhudhuria na Kushiriki Kikao cha Kadhia za Umma
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ni furaha kwetu sisi katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan kuwaalika ndugu zetu wanahabari, wanasiasa, wasomi na wanamaoni kuhudhuria na kushiriki katika Kikao cha Kadhia za Umma cha kila wiki ili kujadili masuala ya sasa.