Sudan na Ushahidi wa Uwongo katika Makubaliano ya Khiyana na Umbile la Kiyahudi
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jana, Jumanne, 15/09/2020, Amina Aqareb; Msimamizi wa Mambo ya Ubalozi wa Sudan jijini Washington, na Naibu Balozi alishuhudia kutiwa saini kwa Imarati na Bahrain pamoja na umbile la Kiyahudi Mkataba wa Khiyana Kubwa kwa Palestina