Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Uacheni! Hakika ni Uvundo

Ni muhimu kufahamu maana na uhalisia wa neno “Jahiliyah” ili tuifahamu jamii ya sasa ambayo tunaishi. Ili, hitajio la kurejesha tena Khilafah liwe na umuhimu wa kipekee katika maisha ya Waislamu. Tunapoangalia uhalisia wa jamii ya Makkah yenyewe na Waarabu kwa jumla, tunaona kwamba kulikuwa na baadhi ya makabila yanayo hama hama na kulikuwa na uwepo wa makabila kama Thaqif, Quraish, Shaiban na mengineyo.

Soma zaidi...

Kamanda wa Jeshi Tunayemhitaji

Pamoja na mabadiliko katika amri ya jeshi la sita kwa ukubwa duniani, mjadala ulizushwa ndani, nchini Pakistan, na kiulimwengu, juu ya dori ya taasisi yenye nguvu ya kijeshi na mkuu wake wa jeshi. Mengi yamejadiliwa kuhusu urithi wa wakuu wa jeshi, waliomtangulia Jenerali Syed Asim Munir, Mkuu wa Jeshi wa Kumi na Saba wa jeshi la nyuklia, la tisa kwa nguvu zaidi duniani.

Soma zaidi...

Vifo vya Wahamiaji

Tarehe 25 Novemba 2022 iliadhimisha mwaka mmoja wa kifo cha wahamiaji 31 ​​wengi wao wakiwa Waislamu waliokuwa wakivuka Mkondo wa Kiingereza ndani ya mashua ya mpira.

Vifo hivyo vimetajwa kuwa janga baya zaidi la baharini kuwahi kutokea kwa miaka 30. Dhurufu za matukio hayo ya kutisha zinaogofya zaidi.

Soma zaidi...

Mfumo Katili Nchini India Waongeza Chumvi Mauaji ili Kuidhinisha Mashini yake ya Uovu Inayoyumbayumba?

Huku India ikipitia baadhi ya maonyesho muhimu ya uchaguzi katika majimbo yake tofauti tofauti kama Himachal Pradesh, Gujarat na uchaguzi mkuu wa ndani lakini wenye hisa nyingi kwa Mashirika ya Manispaa ya Delhi, inakuwa chanzo cha masuala machafu, yenye uvundo na ugomvi ambayo ni sarafu za uchaguzi zenye uwezo wa kununua tena kura ili kusaidia kuunga mkono mfumo uliofeli.

Soma zaidi...

Afya Yetu ni Utajiri Wetu

Uvumbuzi, ubunifu na uboreshaji wa teknolojia unaendelea kushuhudiwa kwa kasi katika kila nyanja ya maisha. Imepelekea kiasi kwamba katika karne hii ya ishirini na moja, wanadamu wamepiga hatua kubwa katika ulingo wa kisiasa, kijamii, kiuchumi na kielimu kutokana na kuikumbatia teknolojia.

Soma zaidi...

Qatar Inahamasisha Mashini yake Yenye Nguvu ya Vyombo vya Habari Kuwanyamazisha Wanaokashifu Matumizi Makubwa kwa Kombe la Dunia kwa Kudai Kupatiliza Faida ya Fursa hii Kulingania Uislamu

Mara tu habari za matumizi makubwa ya Qatari kwa maandalizi ya Kombe la Dunia kuenea, ambayo yalifikia dolari bilioni 220 (mara 19 ya kima ambacho Urusi ilitumia kwenye Kombe la Dunia lililopita mnamo 2018), makala mingi yalionekana kujaribu kuhalalisha matumizi haya na kuonyesha juhudi za Qatar za kuitumia hafla hii ya michezo na hitaji lake kubwa kueneza Hadith za Mtume (saw), kupaza sauti ya adhan ya swala na kumleta Mlinganizi Zakir Naik nk.

Soma zaidi...

Joyland: Kukanusha Sababu Saba Zilizojadiliwa Zaidi zenye Kupendelea Kuonyeshwa Filamu Hii

Miongoni mwa mabishano mengine mengi, ubishani mpya umeikumba nchi yetu kuhusu filamu ijayo, ya Joyland[1] na marufuku yake inayobishaniwa[2]. Filamu hiyo, kabla ya kutolewa rasmi, tayari imeshinda tuzo 4 kuu, miongoni mwazo tuzo ya 'heshima' ya Tamasha la Filamu la Cannes katika vigawanyo viwili, miongoni mwao ni kigawanyo cha Queer Palm kilichotolewa kwa maudhui husika ya LGBT[3] na tuzo ya jury iliyosifiwa sana[4].

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu