Watoto wa Kiislamu ndio Walengwa wa Michezo ya Bunduki ya Maadui wa Uislamu
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Umbile la Kiyahudi linasema vikosi vyake vinaonekana kumuua bila kukusudia msichana mmoja wa Kipalestina mwenye umri wa miaka 16 wakati wa mapigano ya bunduki na wanamgambo katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kimabavu.