Ramadhan Inaingia Huku Umma Ukiendelea Kukumbwa na Maafa Zaidi
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Harakati ya Hizb ut-Tahrir Kenya inafuraha kupongeza Waislamu humu nchini na kote duniani kwa ujumla kwa kufikiwa na Mwezi mtukufu wa Ramadhan.