Jumamosi, 11 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/14
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Qatar Inahamasisha Mashini yake Yenye Nguvu ya Vyombo vya Habari Kuwanyamazisha Wanaokashifu Matumizi Makubwa kwa Kombe la Dunia kwa Kudai Kupatiliza Faida ya Fursa hii Kulingania Uislamu

Mara tu habari za matumizi makubwa ya Qatari kwa maandalizi ya Kombe la Dunia kuenea, ambayo yalifikia dolari bilioni 220 (mara 19 ya kima ambacho Urusi ilitumia kwenye Kombe la Dunia lililopita mnamo 2018), makala mingi yalionekana kujaribu kuhalalisha matumizi haya na kuonyesha juhudi za Qatar za kuitumia hafla hii ya michezo na hitaji lake kubwa kueneza Hadith za Mtume (saw), kupaza sauti ya adhan ya swala na kumleta Mlinganizi Zakir Naik nk.

Soma zaidi...

Je, sio Wakati sasa wa Kuiwajibisha Marekani na Nchi za Kimagharibi, Wachochezi wa Ugaidi?!

Mnamo Jumapili, Novemba 13, 2022, shambulizi baya la kigaidi lilifanyika Taksim, Istanbul, ambapo mlipuko uliua watu 6, wakiwemo watoto 2, na kujeruhi watu 81. Mamlaka zilitangaza kwamba shambulizi hilo la kigaidi lilitekelezwa kwa maagizo ya Chama cha Wafanyikazi wa Kurdistan/Chama cha Umoja wa Kidemokrasia/Vitengo vya Ulinzi wa Watu.

Soma zaidi...

Afya Yetu ni Utajiri Wetu

Uvumbuzi, ubunifu na uboreshaji wa teknolojia unaendelea kushuhudiwa kwa kasi katika kila nyanja ya maisha. Imepelekea kiasi kwamba katika karne hii ya ishirini na moja, wanadamu wamepiga hatua kubwa katika ulingo wa kisiasa, kijamii, kiuchumi na kielimu kutokana na kuikumbatia teknolojia.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 24/11/2022

Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo na mikoa tofauti tofauti ya nchi ili kujenga rai jumla yenye ufahamu juu ya hukmu za Uislamu na suluhu zake zinazohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha, ambazo zinashughulikia mapigano na migogoro ya kikabila inayoendelea katika maeneo mbalimbali nchini...

Soma zaidi...

Uongozi wa Kijeshi Sio Ngawira

“Waziri Mkuu Shehbaz Sharif alimteua Jenerali Asim Munir kama mkuu wa jeshi mpya wa Pakistan, chaguo ambalo linaweza kuimarisha upinzani wa Waziri Mkuu wa zamani Imran Khan kwa serikali na kuzua mapigano yake makubwa na jeshi. Khan, ambaye kama waziri mkuu alimuondoa Munir kutoka wadhifa wa mkuu wa upelelezi, atauona uteuzi huo kama kikwazo kinachowezekana kwa jaribio lake la kulazimisha uchaguzi wa mapema...

Soma zaidi...

Demokrasia na Mfumo wake wa Kiulimwengu ni Minyororo ya Utumwa wa Kimarekani Simamisheni Tena Khilafah kwa Ajili ya Mabadiliko Halisi

Mnamo tarehe 27 Machi 2022, Imran Khan alifichua operesheni ya mabadiliko ya serikali kupitia njama ya Marekani kwenye mkutano wa hadhara, na akatangaza mapambano ya umma dhidi ya udhibiti wa Marekani juu ya Pakistan. Hata hivyo, katika muda wa miezi saba na nusu tu, Imran Khan alimaliza rasmi kampeni hii.

Soma zaidi...

Takeni Kukomeshwa kwa Ushirikiano na Marekani, ili Kupata Fahari ya Majeshi Yetu, Ardhi Zetu na Dini Yetu

Uteuzi wa mkuu mpya wa jeshi kwa jeshi la Waislamu lenye nguvu zaidi duniani ulijiri wakati wa ukataji tamaa mkubwa. Tulishusha pumzi, tulipoona mwisho wa enzi chungu ya miaka sita ya Jenerali Bajwa. Kutufunga kwa ushirikiano na Marekani, Mafundisho ya Bajwa yaliharibu sifa ya wanajeshi, na kusababisha ukosefu wa utulivu na usalama juu yetu.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu