Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo 450 - 451 - 452
- Imepeperushwa katika Jarida la Al-Waie
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa matembezi yenye kichwa “Kutoka Tunis Hadi Gaza... Takbira za Idd zinayahamasisha Majeshi ya Waislamu!” baada ya swala ya Ijumaa kutoka Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu.
Hizb ut Tahrir/Wilayah ya Uturuki katika usiku wa Lailat al-Qadr iliandaa amali kubwa katika maeneo 18 katika miji tofauti tofauti ya Uturuki yenye kichwa: “Mikono Imeinuliwa Mbinguni Kuomba Dua kwa ajili ya Waislamu wa Gaza!”
Mateso ya dada zetu Waislamu hayavumiliki kwa viwango vyovyote vya kibinadamu. Ni lazima tutambue heshima kubwa na nafasi ya juu ya Mwanawake Muislamu katika Uislamu. Maisha yake, mali na utu wake vyote vinalindwa chini ya hukmu za Sharia na ukiukaji wake ni miongoni mwa haramu kubwa, kama alivyofafanulia Mwenyezi Mungu (swt).
Hizb ut Tahrir / Kenya ingependa kutoa salamu za dhati za Idd ul-Fitr kwa Waislamu nchini Kenya na dunia nzima kwa ujumla. Tunatoa pongezi zetu kwa wabebaji wa Da’wah wa Ummah wanyoofu wanaofanya kazi bila kuchoka kuelekea kusimamisha tena Khilafah Rashida kwa njia ya Utume.
Ni juu ya majeshi ya Waislamu kukusanyika kwenda kuinusuru Gaza, ili wawe sako kwa bako na Umma wa Kiislamu katika kuinusuru Gaza.
Hizb ut Tahrir / Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina): Khutba ya Idd ul-Fitr 1445 H “Bishara Njema kwa Ayyub Gaza!”
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Pongezi kwa Mnasaba wa Ujio wa Sikukuu ya Idd ul-Fitr Iliyobarikiwa 1445 H