Waziri wa Uwiano kwa Mara Nyengine Tena Atoa Wito wa Vita vya Kifikra dhidi ya Uislamu!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa Uwiano, Mattias Tesfaye, alisema katika mahojiano huko Jyllands Posten mnamo 22/01/2021 kwamba "nusu ya pili" katika mvutano wa maadili dhidi ya Uislamu linaendelea!