Mkurupuko wa Ugonjwa wa Korona (Covid-19) Umedhihirisha Kheri katika Waislamu na Mapuuza kwa Watawala
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kama ilivyo katika kila mtihani kutoka kwa Mwenyezi Mungu (swt), iwe ni tetemeko la ardhi au mafuriko, Waislamu watukufu wa Pakistan waliitikia kwa subra na upole mtihani wa mkurupuko wa virusi vya Korona (Covid-19).