Urasilimali Hautoi Akhlaqi za Kudumu, Manufaa Ndio Thamani Pekee Yenye Kuendesha Maamuzi
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo tarehe 2 Novemba 2020, BBC iliripoti kuwa serikali ya India imeanzisha kampeni ya kupigia debe matumizi ya sukari kukabiliana na kujaa kwa sukari iliyo kosa mauzo katika makampuni.