Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 317
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 317
Vichwa Vikuu vya Toleo 317
Wilayah ya Pakistan: Naveed Butt "Uislamu Unakataa Utabikishaji Kidogo Kidogo!"
Gazeti la kila siku la Al-Thawra linalochapishwa jijini Sanaa mnamo tarehe 09/12/2020 lilichapisha ripoti iliyoungwa mkono na picha za kuvuja kwa kila siku kwa idadi kubwa ya mafuta ghafi
Baada ya Waislamu kuihisi hali mbaya waliokuwa wakiishi, utambuzi wa baadhi yao ukaanza kupata nguvu kuelekea kwenye kubadilisha ukweli huu.
Chansela wa Austria Sebastian Kurz alitangaza mnamo tarehe 11 Novemba nia ya serikali kuunda kifungu kipya cha makosa ya jinai chini ya jina "Uislamu wa kisiasa",
Jukwaa la Shirika la Habari la Sudan (SUNA) lilikuwa mwenyeji wa Kitengo cha Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake na Watoto ili kuzungumza juu ya kampeni ya kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake na kutangaza uzinduzi wa kampeni ya siku 16 ya kupambana na unyanyasaji na ubaguzi,
Katikati ya uwepo wa usalama mzito, serikali ya Hasina isiyo na huruma imeanza uhamishaji kwa lazima maelfu ya wakimbizi wa Rohingya katika kisiwa kilichotelekezwa na chenye kukumbwa na mafuriko ya mara kwa mara, Bhashan Char, katika Ghuba ya Bengal.
Chini ya uangalizi wa Waziri wa Wakfu na Masuala ya Matukufu ya Kiislamu, Dkt Muhammad Al-Khalayleh, vitivo vya Sharia katika vyuo vikuu vya Jordan, kwa kushirikiana na Shirika la Ushirikiano wa Kimataifa la Ujerumani (GIZ), watafanya kongamano la kwanza kwa wanafunzi wa vitivo vya Sharia katika vyuo vikuu vya Jordan chini ya anwani: "Uhalisia wa maji nchini Jordan ... Changamoto na Masuluhisho kutoka kwa Mtazamo wa Kiisilamu." Ambalo litafanyika kwa kutumia programu ya Zoom mnamo Jumamosi tarehe 12/12/2020.
Hii ndio namna Mwenyezi Mungu Mtukufu amemuelezea Muumini.
Sheikh mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameinunua timu ya mpira wa miguu inayocheza katika ligi kuu ya Israel ambayo haina hata mchezaji mmoja wa kiarabu.