Vita Virefu Zaidi vya Amerika
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vyombo vya Habari vya kilimwengu vimejaa taarifa ya kuondoka kwa vikosi vya Amerika nchini Afghanistan.
Vyombo vya Habari vya kilimwengu vimejaa taarifa ya kuondoka kwa vikosi vya Amerika nchini Afghanistan.
Mwezi wa ulioteremshwa Qur'an Tukufu, Ramadhan, unashuhudia kutekwa nyara kwa mja mwaminifu wa Mwenyezi Mungu (swt), aliyelingania hukmu kwa yale yote yaliyoteremshwa na Mwenyezi Mungu (swt).
Msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Pakistan, Naveed Butt, anaendelea kutekwa nyara tangu tarehe 11 Mei 2012, wakati majambazi kutoka kwa mashirika ya serikali walipomteka nyara kwa nguvu nje ya nyumba yake jijini Lahore, mbele ya watoto wake na majirani waliojaa hofu.
Kwa kuzingatia shambulizi la kimpangilio la kuyagonga maadili ya Uislamu katika nchi za Kiislamu, Wizara ya Elimu nchini Jordan ilisambaza vitabu kwa idara za elimu 42 katika magatuzi anuwai kutekeleza mpango wa mafunzo kwa walimu wa kiume na wa kike juu ya "uoanishaji jinsia katika elimu na mazingira ya shule.”
Mnamo siku ya Ijumaa, 15 Oktoba 2021, Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia iliandaa visimamo baada ya swala ya Ijumaa katika mji mkuu wa Tunisia na miji ya Kairouan na Sfax; kuzungumzia upuuzi wa usekula na njia ya kisiasa inayovuruga nchi, kukiwa hakuna tofauti kati ya njia ya kabla na baada ya taratibu za Julai 25.
Kadhia za Ummah "Mkasa wa Waislamu nchini India"
Katika kumbukumbu ya maadhimisho ya ukombozi wa Jerusalem kutokana na karaha ya Makruseda, umbile la Kiyahudi linaidhinisha sheria inayofungua wazi mlango wa kuugeuza Msikiti wa Al-Aqsa kuwa sinagogi la Kiyahudi ambamo watafanya ibada na sala zao.
Wiki hii kwenye "Pano" ya VRT (Kampuni ya Umma ya Utangazo ya Kiflemi nchini Ubelgiji) ilichunguza jinsi elimu ya Kiislamu mashuleni imepangiliwa katika upande wa maalumati na ushawishi ulionao Morocco, Uturuki na Dola za Ghuba kwa misikiti anuwai nchini Ubelgiji.
Makala mawili wiki hii kutoka kwa Independent kila moja inatoa mwangaza kwa njia tofauti juu ya wapi Amerika inaelekea kisayansi.
Kwa sasa, kitisho ambacho Waislamu wa Uyghur wanakabiliana nacho nchini China ni maarufu; mateso, utoaji mimba wa lazima kwa wanawake wa Uyghur, kutenganishwa kwa nguvu na kufanyishwa kazi kwa nguvu.