Athari za Kisiasa nchini Afghanistan
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kisiasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kisimamo katika kijiji cha Sahara viungani mwa Aleppo kwa anwani "Daraa Kutoka kuwa ni Kaa la Moto Chini ya Majivu Hadi kuwa ni Moto Wenye Kuwaunguza Matapeli!"
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Agosti 2021 M.
Maandamano yaliyo andaliwa na watu waliohamishwa makaazi ya Houran Mjini Kafar Takharim viungani mwa Idlib baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani "Nusra kwa Watu wa Daraa ni Mboni ya Jicho!"
Mnamo 07/10/2001 M, Amerika, kinara wa ukafiri, na mshirika wake Uingereza walianzisha vita vya kinyama dhidi ya Waislamu, waliishambulia kwa mabomu miji ya Afghanistan ya: Kabul, Kandahar, Jalalabad na mengineyo na makombora ya Tomahawk, na kurusha makombora na aina anuwai za silaha.
Wilayah Syria: Pongezi kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Al-Mubarak