Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 11/10/2020
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mimbari ya kila wiki ya Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Sudan – eneo la Omdurman, Kaskazini – ilifanywa mnamo siku ya Ijumaa Oktoba 2, 2020, katika Soko la Sabreen chini ya anwani: "Wimbi la Usawazishaji Mahusiano … Je, watawala wa Sudan watajiunga na kundi la wanaodhihirisha khiyana kubwa?"