Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 340
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 340
Vichwa Vikuu vya Toleo 340
Tokea siku za mwisho za Ramadhan wakati watu wengi kote duniani wakitazama picha za kuogofya huku vikosi vya Kizayuni vikivamia eneo la al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni wakijaribu kuwafurusha wakaazi katika Sheikh Jarrah, mambo sasa yamepamba moto na kuwa mzozo kamili wakati umbile la Kiyahudi sasa likiivamia Gaza.
Mnamo tarehe 10 Mei 2021, siku tatu baada ya kuanza mashambulizi ya umbile la Kiyahudi kwenye Qibla cha mwanzo cha Waislamu, al-Masjid al-Aqsa, Imran Khan alifanya Umra na aliswali mbele ya Qibla cha pili na cha mwisho, al-Masjid al-Haram.
Katika mkutano wa karibuni baina ya Raisi Bukhari na Waziri wa Kigeni wa Amerika Anthony Blinken, ambapo Raisi alimtaka Waziri kuisaidia Nigeria na eneo la Afrika la kusini mwa Sahara kwa changamoto za kiusalama kwa kuiondoa AFRICOM kutoka Stuttgart, Ujerumani na kuiweka kwenye bara muwafaka.
Chini ya mazingira ya kupiga kambi kwa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na kuzingirwa kwake na taharuki ambayo imekuwa ikiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut -Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kisimamo mbele ya ubalozi wa Misri jijini Beirut kwa anwani: "Al-Aqsa Yalilia Majeshi!"
Wiki hii Rais wa Amerika Joe Biden ametangaza kwamba hatarudisha nyuma uamuzi wa mtangulizi wake wa kuondoa majeshi kutoka nchini Afghanistan lakini atachelewesha hilo hadi kufikia tarehe 11 Septemba 2021, tarehe hiyo itakuwa ni sawa na kufikisha miaka 20 tangu kutokea mashambulizi ya 9/11 ambayo ndio sababu kuu ya kuivamia Afghanistan.
Wiki iliyopita, Amerika iliionya China dhidi kile ambacho Ufilipino na Taiwan wanakiona kama vitendo endelevu vya kichokozi, ikiikimbusha Beijing majukumu yake kwa washirika wake.
Ramadhan ni mwezi ambao Mwenyezi Mungu (swt) huwawezesha Waislamu kujitafakari wenyewe kama wana wa Adam kwa kutafuta msamaha kutoka kwa Mola wao na kuweza kuwa mmoja wa Wachaji Mungu, kwani Mwenyezi Mungu (swt) anasema,
Siku ya Ijumaa tarehe 07 Mei 2021, Raisi Samia Suluhu Hassan alihutubia wazee wa jiji la Dar es Salaam katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Ardhi Iliyobarikiwa: Maoni ya Habari "Nusra ya Al-Aqsa iko kwa Kuyapeleka Majeshi Kuikomboa Palestina na Kuling'oa Umbile la Kiyahudi!"