Wilayah Syria: Wanawake wa Ash-Sham Wanaupa Kongole Umma wa Kiislamu kwa Siku ya Arafah na Idd ul-Adha Al-Mubarak na Kuyaomba Nusra Majeshi ya Waislamu!
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 348
Rufaa kutoka mashababu wa Hizb ut Tahrir katika eneo la A'zaz kupinga uhalifu wa kukamatwa kwa wabebaji ulinganizi katika mji wa Idlib mikononi mwa kundi la Hay’at Tahrir Al-Sham.
Mwendelezo wa amali umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Sudan katika maeneo mbalimbali ya nchi ili kuunda rai jumla yenye utambuzi kuhusu vifungu vya Uislamu na masuluhisho yake yanazohusiana na nidhamu anuwai za maisha,
Hizb ut Tahrir Wilayah ya Kenya imechapisha toleo jipya la Jarida la UQAB kwa ajili ya mwezi wa Julai 2021 M.
Vichwa Vikuu vya Toleo 347
Harakati ya Hizb ut-Tahrir Kenya imezindua rasmi kampeni ya kiuchumi itakayodumu kwa mwezi mmoja. Kampeni hii itaanza tarehe mosi ya mwezi mtukufu wa DhulHijja 1442 Hijria sawasawa na tarehe 11 Julai 2021 na kutamatika Agosti 11.
Kama kawaida, Mahouthi bado wangali wanawazuia Mashababu watatu wa Hizb ut Tahrir - wabebaji ulinganizi wa kusimamisha Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume, ambao ni Shaif Al-Shradi, Muhsin Al-Jaadaby na Ayub Al-Shradi,
Mnamo siku ya Jumanne, 07/06/2021, Ethiopia iliiarifu Sudan juu ya kutekeleza ujazo wa pili wa ziwa la Bwawa la An-Nahdha, kwa kiasi cha mita za ujazo bilioni 13.5 za maji, ambayo inasababisha uharibifu wa huduma muhimu za Khartoum na maisha ya wakaazi milioni 20, kwa mujibu wa taarifa rasmi.
Vikosi vya serikali vimeanzisha tena upya umwagaji wao wa mabomu viunga vya Hama na Idlib, Syria.