Njia ya Kufikiri Katika Uislamu na Mambo Msingi ya Mtazamo wa Kiislamu
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hii ndio namna Mwenyezi Mungu Mtukufu amemuelezea Muumini.
Hii ndio namna Mwenyezi Mungu Mtukufu amemuelezea Muumini.
Sheikh mmoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu ameinunua timu ya mpira wa miguu inayocheza katika ligi kuu ya Israel ambayo haina hata mchezaji mmoja wa kiarabu.
Tunachokishuhudia nchini Ufaransa ni mgongano wa hadhara.
Vichwa Vikuu vya Toleo 316
Mnamo Aprili mwaka huu 2020, serikali ya Sri Lanka ilitoa kanuni inayoamuru kwamba wale wote wanaokufa kutokana na Covid-19 au ambao walikuwa na virusi vya ugonjwa huu wakati wa kifo walipaswa kuchomwa moto,
Pakistani ndio nchi ya hivi karibuni zaidi kutangaza chanjo dhidi ya virusi vya Korona.
Kama sehemu ya hatua za kuzuia dhidi ya kuenea kwa magonjwa ya kuambukiza, misikiti ya nchi hiyo itabaki imefungwa hadi tarehe 1 Januari 2021, iliripoti Turkmenportal kwa mujibu wa Muftiate wa Turkmenistan.
Kiongozi mmoja wa mshtaka aliomba kifungo cha miaka 52.5 kwa jumla kwa wazungumzaji 4 wa kongamano moja ambalo lilikuwa limepangwa kufanyika mnamo 2017 lakini likazuiwa pasi na sababu msingi.
Mnamo 2 Disemba 2020, ilitangazwa kuwa serikali ya Afghanistan na Taliban wamekubaliana juu ya sheria za mazungumzo.
Sehemu za amali zilizoandaliwa na Hizb ut-Tahrir kote ulimwenguni kumnusuru na kumuunga mkono Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).