Minbar ya Ummah: Maandamano katika Mji wa Salkeen "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu"
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Halaiki ya watu wa mji wa Salkeen viungani mwa Idlib waliandaa kisimamo cha kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) chini ya anwani: "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu".