Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 303
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 303
Vichwa Vikuu vya Toleo 303
Licha ya janga maambukizi ya virusi vya Korona, serikali ya kimabavu wa Modi ilitoa vyeti vipya 430,000 vya ukaazi katika Kashmir Iliyokaliwa ili kubadilisha idadi ya watu kwa nguvu kupitia "walowezi" katika eneo hilo,
Kila mara watetezi wa chuki ya usekula hudai haki yao ya kuwatusi Waislamu kupitia uchomaji nakala zilizo chapishwa za Qur'an na kuchapisha vikaragosi vinavyomkejeli Mtume Muhammad (saw).
Assalam Aleykum, Hakika sisi tunajua kuwa murabaha kama fahamu inaruhusiwa kisheria, lakini naamini uhalisia wa sasa wa murabaha katika mabenki ya Kiislamu ni kinyume na Sheria, haswa kwa watu wetu huko Palestina,
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria ilizindua kampeni yake dhidi ya uhalifu wa suluhisho la kisiasa la Kiamerika mnamo tarehe 13/8/2020 M, na kuanza kuonya juu ya uhalifu huu mbaya;
Katika taarifa kwenye akaunti yake kwenye wavuti, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Sudan, Haider Badawi Sadiq, aliwataka Wasudan wapatane na (Israel),
Hizb ut-Tahrir ilifanya amali kadhaa katika wiki iliyopita; ambapo hotuba za halaiki zilifanywa mjini Omdurman, katika maeneo ya soko la Sabireen na Al-Thawra 17 na jijini Khartoum katika maeneo ya Kalakila na Dukhainat ambapo anwani za hotuba hizi zilikuwa:
Mnamo Agosti 19, Krasnoglinsky, Mahakama ya Wilaya ya Samara ilitangaza kuwa juzuu ya kwanza kati ya juzuu tatu ya toleo la tafsiri ya Quran kwa lugha ya Kirusi ya Abd ar-Rahman al-Saadi kuwa ni yenye misimamo mikali.
Hizb ut Tahrir katika Wilayah Uturuki ilitoa taarifa kwa vyombo vya habari kwa anwani, "Kumtusi Mtume wa Mwenyezi Mungu hakusameheki", katika Bustani ya Sarachane jijini Istanbul.
Sweden: Kuchomwa kwa Qur'an – Wajibu kwa Kila Muislamu!