Alhamisi, 01 Shawwal 1447 | 2026/03/19
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

NATO Yahangaikia Uhusiano Stahiki

Mkutano wa mwanzo baina ya Ulaya na Amerika ulifanyika karibuni katika mkutano wa Wakuu wa Nchi za NATO mjini Brussels. Baada ya Donald Trump kuikosoa Ulaya kwa kutotekeleza jukumu lao katika mahusiano ya ushirikiano wao unaovuka ng'ambo ya bahari ya Atlantiki kufikia kiwango cha chini kabisa baina ya washirika.

Soma zaidi...

Ikiwa Taasisi za Umma Zinabambikia Kesi Wananchi Wao Wenyewe Wasio Na Hatia, Je Haki Itapatikana Wapi?

Siku ya Jumanne tarehe 18 Mei 2021, Raisi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan wakati akizindua karakana ya kushonea sare za Polisi alisema kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) tayari imeshafuta kesi 147 za kubambikiza, na kulitaka Jeshi la Polisi kufanya hivyo pia.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu