Jumatano, 25 Muharram 1446 | 2024/07/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Mgogoro wa Dolari ya Kimarekani Tanzania na Pengine ni Kielelezo cha Ubwana wa Mabavu ya Marekani Kiuchumi

Tanzania kama nchi nyingine nyingi inakabiliwa na mgogoro wa uhaba wa fedha ya dolari ya kimarekani. Ripoti zinasema akiba ya fedha za kigeni mwishoni mwa mwezi wa Aprili 2023 ni dolari bilioni 4.9, na ndani ya mwezi wa Julai 2023 ni bilioni 5.55. Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hifadhi hiyo inaweza kukidhi mahitaji ya uagizaji wa bidhaa kwa takriban miezi mitano.

Soma zaidi...

Serikali ya Denmark Inataka Kuzuia Uchomaji wa Quran Mbele ya Afisi za Mabalozi, Ili Kulinda Maslahi Yake, ambayo bila Shaka sio kwa Ajili ya Heshima kwa Uislamu

Ni dhahiri kwamba nia ya serikali ya Denmark ya kutoa uamuzi wa kupiga marufuku kuchomwa moto kwa Qur'an mbele ya afisi za balozi za kigeni haionyeshi kwa vyovyote vile kwamba serikali hiyo ghafla ina hamu ya kuilinda jamii ya Kiislamu nchini Denmark kutokana na mashambulizi ya chuki ya mara kwa mara yanayoilenga.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Tajikistan Yaomboleza kwa Huzuni Kubwa Mbebaji Dawah Ustadh Ismail Dadobov

Hizb ut Tahrir / Tajikistan inaomboleza kwa masikitiko makubwa kuondokewa na mbebaji ulinganizi mwenye ikhlasi Ismail Dadobov, aliyeaga dunia kwenda kwenye rehema za Mwenyezi Mungu Mtukufu mnamo siku ya Ijumaa, 17 Muharram 1445 H, sawia na 4 Agosti 2023 M, baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Soma zaidi...

Uchaguzi Sio Suluhisho na Hautaleta Jambo Lolote Jipya, Hata kama Watu Wanaotekeleza Utawala Watabadilika na Wanajeshi Kuondolewa kwenye Orodha

Siku hizi, sauti zinamtaka Sisi ang’atuke na aondoke kwa salama kutoka kwa mandhari. Wakosoaji wa sera na maamuzi yake wameibuka kutoka kwa wale waliolelewa katika kukumbatia serikali hiyo na walikuwa miongoni mwa nguzo zake enzi ya Mubarak.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu