Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Serikali Inaendelea Kudai kuwa Mlinzi wa Haki za Wanawake kwa Jina la Kupambana na Unyanyasaji Dhidi ya Wanawake Bila ya Kujua Sababu Halisi za Unyanyasaji!

Jukwaa la Shirika la Habari la Sudan (SUNA) lilikuwa mwenyeji wa Kitengo cha Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake na Watoto ili kuzungumza juu ya kampeni ya kupambana na unyanyasaji dhidi ya wanawake na kutangaza uzinduzi wa kampeni ya siku 16 ya kupambana na unyanyasaji na ubaguzi,

Soma zaidi...

Barua ya Wazi Kutoka kwa Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan hadi kwa Serikali ya Mpito Jinsi Gani Uduni Wenu Umekufikisheni Kumfungulia Kafiri Mkoloni Ngome ya Mwisho ya Uislamu; Familia?!

Kwa kutia saini Baraza la Mawaziri juu ya kuondolewa vipingamizi vya hapo awali kwa Mkataba wa Afrika juu ya Haki na Ustawi wa Mtoto; Ambao umejengwa juu ya hadhara ya Kimagharibi

Soma zaidi...

Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan Kimeandaa Kisimamo cha Kupinga Mbele ya Baraza la Mawaziri na Kukabidhi Barua ya Wazi kwa Afisi ya Waziri Mkuu

Kwa neema ya Mwenyezi Mungu (swt), kisimamo kilicho pangwa na kitengo cha wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan kilifanyika, na kina dada walioshiriki walipanga foleni na kubeba miito ya kulaani utiaji saini Mkataba wa Kiafrika juu ya Haki za Mtoto, ambapo iliandikwa kwenye mabango

Soma zaidi...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi

Mmoja wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan katika mji wa El Obeid; ambaye iliubeba ulinganizi huu licha ya ugonjwa wa kisukari, ambao alisababisha kukatwa kwa sehemu ya mguu wake, na pia kusababisha nuru ya macho yake kupungua, na haya yote hayakumvunja moyo kuubeba ulinganizi huu, na kuipenyeza popote alipokuwa.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu