Gazeti la Mageuzi ya Kimsingi [Koklu Degisim] Kifo cha Kishahidi cha Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Chini ya Mikono ya Wavamizi wa Urusi Katika Crimea!
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vikosi kutoka idara ya Huduma za Usalama ya Taifa ya kitengo Maalum cha Huduma cha Urusi vimevamia nyumba ya Ndugu Nabi Rahimov na kisha kumuuwa, kwa madai ya kukataa kukamatwa.