Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kadhia za Ummah
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kadhia za Ummah
Mwaliko wa Kuhudhuria Kikao cha Kadhia za Ummah
Maafisa wa upelelezi wa Kenya watapendekeza kushtakiwa kwa maafisa wakuu wasiopungua 15 wa serikali na wafanyibiashara juu ya madai ya matumizi mabaya ya mamilioni ya dolari yaliyokusudiwa kununua vifaa vya matibabu vya Covid-19.
Saudi Arabia itakuwa mwenyeji wa mashindano ya kitaalam ya gofu kwa wanawake kwa mara ya kwanza mnamo Novemba katika uwanja wa Royal Greens Golf & Country Club mjini Jeddah. (Reuters 29/9/2020)
Kuanzia 11 hadi 13 Septemba 2020, uchaguzi wa rais wa jamhuri na manaibu wa manispaa ulifanyika nchini Tatarstan.
Vichwa Vikuu vya Toleo 306
Mnamo Septemba 16, 2020, Mahakama ya Kijeshi ya Wilaya ya Kusini ya Shirikisho la Urusi huko Rostov-on-Don ilitangaza uamuzi dhidi ya Waislamu 8 kutoka Crimea katika kile kinachoitwa "kesi ya pili ya Bakhchisaray ya Hizb ut Tahrir".
Vazi la mwanamke wa Kiislamu, ima Khimar, jilbab au Niqab kamwe huwa haliko mbali na vyombo vya habari au kurunzi ya kisiasa ndani ya dola za kisekula.
Naibu Waziri wa Kigeni wa Amerika Stephen Biegun amedokeza kuwa ushirikiano usio rasmi kati ya Amerika, Australia, Japan, na India unaweza kuwa mwanzo wa mtindo wa muungano wa NATO katika eneo la Indo-Pasifiki.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh leo (Ijumaa, 25/09/2020) baada ya swala ya Ijumaa iliandaa maandamano katika misikiti tofauti tofauti jijini Dhaka na Chittagong dhidi ya makubaliano ya khiyana ya Imarati na Bahrain pamoja na umbile la Kiyahudi.
Sisi tunaishi katika mazingira ya kupanuliwa kwa mapinduzi ya Januari ambayo hayakuisha, kama Magharibi na wanaume wake miongoni mwa wanajeshi waliochukua madaraka baada ya mapinduzi walivyodhani,