Uongozi wa kisekula Wadunisha Madrasa Zetu Kiasi Hiki!
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wakati tunapomshukuru Mwenyezi Mungu (swt) kwa kupungua maambukizi ya Covid -19 humu nchini, wakati huo huo tunasikitishwa na hatua ya serikali ya kufungua vilabu vya vileo huku Madrasa za Kiislamu kutogusiwa kamwe