Minbar Ummah: "Vikosi vya Wanamapinduzi Huru Vinatuwakilisha."
- Imepeperushwa katika Minbar Ummah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maandamano katika mji wa Armanāz mashambani mwa Idlib yenye jina, "Vikosi vya Wanamapinduzi huru vinatuwakilisha."
Maandamano katika mji wa Armanāz mashambani mwa Idlib yenye jina, "Vikosi vya Wanamapinduzi huru vinatuwakilisha."
Maandamano kwa kichwa, "Kutoka Killi hadi Kambini, Mapinduzi dhidi ya Viongozi." kutoka Msikiti wa Shayma Al-Mutairi hadi kwenye makutano ya Atmaa magharibi ya kuunga mkono Killi dhidi ya kukandamizwa na matakwa ya Hayat Tahrir Asham.
Minbar ya Ummah: “Maandamano katika Kambi ya Atma, kusini mashambani mwa Aleppo, kwa kichwa "Chukua silaha kutoka kwa ghala na muanze Vita vya Sahel kabla ya viongozi wa vikundi kuisalimisha."
Hadith imemuweka katika nafasi ya juu na ya heshima mbele ya Mwenyezi Mungu (swt) akhera yule anayemtegemea Mwenyezi Mungu pekee.
Kwa takribani siku mia moja, watu wanaandamana mabarabarani wakitaka kuporomoka kwa nidhamu fisidifu na kuondolewa kwa tabaka fisadi la kisiasa, kwa kutumia kauli mbiu "Wote Humaanisha Wote", msemo wa umma wa kupinga chama chochote kinacho wakilisha tabaka fisadi la kisiasa nchini humu.
Kuendelea kusambaa kwa virusi vya korona kumepelekea michezo ya kivita kucheleweshwa, lakini sio kwa Amerika na Umoja wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), kwani wanajeshi 4,000 wa Amerika na wapiganaji wa UAE walichanganyika na kufanya mazoezi ya kijeshi ya kila mwaka mara mbili ya Ghadhabu Asili.
Waziri wa Mambo ya Ndani ametuma ziada ya waraka kuhusiana na tahadhari ya virusi vya Korona katika serikali za majimbo 81.
Rais wa Urusi Vladimir Putin mnamo Februari 20, 2020 katika mkutano mkuu wa mwaka wa Bodi ya FSB alisema:
Ufahamu wa jambo msingi katika Uislamu la Jihadi umetatanishwa kwa makusudi. Mataifa ya kikoloni na viongozi wao vibaraka wamekuwa mstari wa mbele katika njama hizi.
Katika kumbukumbu ya 99 ya kuvunjwa kwa Khilafah huko Istanbul, ni juu yetu kumkumbuka mmoja wa masahaba wakubwa wa Mtume (saw), Abu Ayyub Al-Ansari, alikuwa ni miongoni mwa watiaji hamasa wakubwa kwa jeshi la Sultan Fatih kuhakikisha kufikiwa bishara ya Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) katika kuiteka Konstantinopoli (ambayo baadaye ikawa Istanbul).