Vichwa vya Habari 14/07/2021
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amewasiliana na kiongozi mpya mwenza wa ‘Israel’, akimpongeza kwa kuingia madarakani na kumkumbusha umuhimu wa uhusiano wao wa pande mbili.



