Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

KUFUATIA UVAMIZI, MATESO NA MAUAJI YA WAISLAMU KATIKA MSIKITI MUSA: Kenya Inaendeleza Vita vya Kiulimwengu Dhidi ya Uislamu kwa Niaba ya Bwana Wake Amerika Anaye Tapatapa!

Mnamo Jumapili 2 Februari 2014, polisi wa Kenya walivamia Msikiti Musa mtaani Majengo eneo la Mombasa kwa kisingizio cha kirongo kuwa ndani ya msikiti huo walikuwemo vijana wa Kiislamu waliokuwa wakifunzwa mbinu za kijeshi na kusajiliwa kujiunga na Al-Shabaab ambayo imetangaza vita nchini Somalia.

Soma zaidi...

Amerika inaweza kuwa na kesi milioni 1 za Covid-19 ndani ya wiki 2!

Amerika inakabiliwa na janga na imeipiku Ujerumani na Ufaransa ndani ya siku mbili zilizopita kwa kesi za Covid-19, na licha ya Italia kuwa na idadi maradufu ya kesi kama Amerika, mjumuiko wa idadi ya kesi inazidi mara mbili ndani ya kila siku 4 nchini Italia, ilhali inazidi mara mbili ndani ya kila siku nchini Amerika.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu