Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Kashmir
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Uislamu katu hauruhusu majadiliano ya kukubaliana na makafiri kuhusu maswala ya Ardhi za Waislamu na haki na ulinzi wa Waislamu.
Moja ya shutuma wanayoitoa Wamagharibi dhidi ya Waislamu ni kuwa kwao nyuma katika maendeleo ya sayansi. Kinyume chake, Wamagharibi wanatoa, na wanaendelea kutoa, mchango mkubwa katika sayansi.
Katika usikilizwaji wa Kamati ya Seneti ya Benki wa tarehe 28 Septemba 2021, Waziri wa Fedha, Janet L. Yellen, aliwaonya watunga sheria wa Amerika mnamo Septemba 28 juu ya matokeo ya “msiba mkuu”, pindi Bunge la Marekani likishindwa kuongeza au kusitisha ukomo wa kisheria wa deni hadi Oktoba 18, 2021, akisema, kuchelewa kutapelekea mporomoko wa kujiumiza wenyewe wa kiuchumi na mgogoro wa kifedha.
Ni upi upeo na umuhimu wa muungano wa kijeshi wa Amerika na Uingereza na Australia? Je! Umeelekezwa dhidi ya China? Au ni kichapo cha Uingereza na Amerika kwa Ufaransa baada ya kuharibu ushawishi wa Uingereza nchini Tunisia, na baada ya wafuasi wake kugeuka dhidi ya mawakala wa Amerika nchini Guinea, na baada ya juhudi za Ufaransa kujenga nguvu ya Ulaya ilio huru na Amerika?
Imekuwa karibu miezi miwili tangu Taliban ikamate udhibiti wa Kabul. Lakini, injini ambayo ilikuwa ikifanya maendeleo ya haraka katika uwanja wa kijeshi inaonekana kwenda kwa kujivuta sana katika jukwaa utawala kushughulikia maswala ya watu.
Nimeona katika Jibu la Swali aliloulizwa Amir (Mwenyezi Mungu amhifadhi) kuhusiana na zaka ya pesa za kushirikiana, kwamba hukmu inatafautiana na yaliyokuja katika kitabu cha “Mali katika Dola ya Khilafah” kuhusu zaka ya washirika wa mbuzi. Ambapo katika kitabu cha Al-Amwaal imekuja maneno yafuatayo:
Kwenye mahojiano na Jamshyd N. Godrej yaliyopeperushwa mnamo 7 Oktoba 2021, Naibu Waziri wa Kigeni wa Amerika, Wendy R Sherman, alitamka kwa kiburi, "Hatuioni tukijenga uhusiano mpana na Pakistan ...
Kwa kumiminwa ghafla kwa rambirambi za dhati, Waislamu kote ulimwenguni wanaomboleza tangu Dkt. Abdul Qadeer Khan, mwanzilishi wa mpango wa nyuklia wa jeshi la Pakistan, alipotangulia katika Rehema ya Mola Wake (swt) mnamo 10 Oktoba 2021.
Amerika imekubali kutoa misaada ya kibinadamu kwa Afghanistan iliyo ukingoni mwa janga la kiuchumi, huku ikikataa kutoa utambuzi wa kisiasa kwa watawala wapya wa nchi hiyo.