Demokrasia Huzaa Tabaka Fisadi la Wanasiasa Waliojivisha Ngozi ya Kondoo
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kila msimu wa uchaguzi nchini Kenya huleta miungano mipya ya kisiasa. Huku uchaguzi ujao ukikaribia, tabaka hilo la wanasiasa linajishughulisha na kuunda miungano mipya huku hatamu ya Uhuru Kenyatta ikifikia mwisho.



