Jumatatu, 28 Sha'aban 1447 | 2026/02/16
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Uhakiki wa Habari 21/08/2021

Kwa kasi ya kushangaza, mujahidina wa Afghanistan waliifagia nchi hiyo na kulazimisha kuporomoka kwa serikali ya Kabul, huku rais wake akikimbia kimya kimya, ingawa, kulingana na Rais wa Amerika Joe Biden akizungumza mnamo Jumatatu, Waamerika walikuwa "wamelipa mafunzo imara na kulihami jeshi la Afghanistan la Wanajeshi 300,000 - wenye zana za kutosha – jeshi  kubwa zaidi kiidadi kuliko majeshi ya washirika wetu wengi wa NATO."

Soma zaidi...

Imran Khan Anajaribu Kuficha Utumwa Wake wa Kisiasa na Kifikra kwa Magharibi kupitia Kuwathamini Waislamu wa Afghanistan

Waziri Mkuu Imran Khan mnamo Jumatatu, 16 Agosti 2021, alizindua Mtaala Mmoja wa Kitaifa katika sherehe jijini Islamabad. Alizungumza kuhusu jinsi ulazimishaji wa thaqafa ni sawa na 'utumwa wa akili," akisema kwamba Waafghan walikuwa "wamevunja pingu za utumwa."

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu