Uhakiki wa Habari 21/08/2021
- Imepeperushwa katika Vichwa vya Habari
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kasi ya kushangaza, mujahidina wa Afghanistan waliifagia nchi hiyo na kulazimisha kuporomoka kwa serikali ya Kabul, huku rais wake akikimbia kimya kimya, ingawa, kulingana na Rais wa Amerika Joe Biden akizungumza mnamo Jumatatu, Waamerika walikuwa "wamelipa mafunzo imara na kulihami jeshi la Afghanistan la Wanajeshi 300,000 - wenye zana za kutosha – jeshi kubwa zaidi kiidadi kuliko majeshi ya washirika wetu wengi wa NATO."



