Ijumaa, 11 Dhu al-Qi'dah 1446 | 2025/05/09
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Kukosekana kwa Utekelezwaji wa Sheria ya Mwenyezi Mungu ni Uhalifu Mkubwa ambao Hutengeneza Uwanja wa Kuzaana kwa Wahalifu na Kukwepa Kwao

Uhalifu wa kushambuliwa kwa kijana wa Zarqa ulitikisa hisia za jamii nchini Jordan kutokana na kuogofya kwake na kutokea kwake mchana kweupe uliofanywa na genge la wahalifu ambalo limezoea kufanya uhalifu mbele ya vyombo vya usalama na mahakama,

Soma zaidi...

Madini ni Mali ya Umma: Ni Umma Pekee Ndio Unaopaswa Kunufaika Sio Kampuni za Ufyonzaji za Kirasilimali

Mnamo tarehe 13/10/2020, Shirika la madini la Twiga Minerals Corporation, ambalo linasemekana kuwa ubia kati ya serikali ya Tanzania na shirika la dhahabu la Barrick Gold Corporation (NYS: GOLD) (TSX: ABX), limelipa mgao wa pesa taslimu wa $250 milioni kulingana na kujitolea kwa Barrick katika ushirika huo.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu