Utawala Mbovu wa Saudia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Saudi Arabia, mojawapo ya nchi tajiri zaidi duniani, inawafungia kinyama mamia ikiwa sio maelfu ya wahamiaji wa Kiafrika ikileta kumbukumbu ya kambi za utumwa za Libya kama sehemu ya msukumo wa kukomesha kuenea kwa Covid-19,