Jumatatu, 19 Muharram 1447 | 2025/07/14
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Ziara ya Waziri wa Kigeni wa Zamani wa Amerika Tillerson Barani Afrika ililenga Umwagaji Damu Zaidi ya Waislamu Kwa Kisingizio cha Mipango ya Vita Dhidi ya Ugaidi

Ziara hiyo ilidokezwa na afisa mkuu wa Wizara ya Kigeni kama ufuatiliziaji juu ya mkutano kati ya Waziri Tillerson na mawaziri wa kigeni wa bara la Afrika jijini Washington mnamo Novemba 2017 ulioandaliwa kwa haraka na ambao uhudhuriaji wake ulikuwa mbaya.

Soma zaidi...

Mauaji ya Waislamu nchini India: Hizb ut Tahrir / Malaysia Imefanya Maandamano katika Ubalozi wa India, Ikiwataka Wanajeshi wa Kiislamu Kusonga na Ummah Kushirikiana na Hizb ut Tahrir Kusimamisha Khilafah

Hizb ut Tahrir / Malaysia ilifanya maandamano ya amani mbele ya Ubalozi wa India, Kuala Lumpur mnamo 06/03/2020, kupinga mauaji ya Waislamu nchini India, haswa mjini New Delhi.

Soma zaidi...

Australia: Kalima mbele ya Ubalozi wa Serikali ya Jordan ya Kutaka Kuachiliwa Huru Ndugu Ismail al Wahwah

Kama sehemu ya mfululizo wa amali ambazo Hizb ut Tahrir nchini Australia iliandaa kumuunga mkono ndugu Ismail al Wahwah (Abu Anas), Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir nchini Australia, ambaye amewekwa kizuizini na huduma za usalama za serikali ya Jordan alipo wasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Malkia Alia mnamo Jumatano 25/7/2018.

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu