Mfumo wa Kiulimwengu wa Khilafah
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kuna mfadhaiko ulio halali kwa Waislamu wa Pakistan kwa upuuziaji wa watawala wao kuhusiana na uchumi na usalama.
Kuna mfadhaiko ulio halali kwa Waislamu wa Pakistan kwa upuuziaji wa watawala wao kuhusiana na uchumi na usalama.
Mkutano wa mwanzo baina ya Ulaya na Amerika ulifanyika karibuni katika mkutano wa Wakuu wa Nchi za NATO mjini Brussels. Baada ya Donald Trump kuikosoa Ulaya kwa kutotekeleza jukumu lao katika mahusiano ya ushirikiano wao unaovuka ng'ambo ya bahari ya Atlantiki kufikia kiwango cha chini kabisa baina ya washirika.
Ninaandika kutoka mji mkuu wa India, Delhi ilhali nikiendelea kupata nafuu ya ugonjwa wa Uviko-19. Ni ngumu kuelezea kile tunachokishuhudia ndani ya India. Ugonjwa umeenea hewani na vifo vimetapaka kila mahali.
Serikali ya Chama cha AK imejikita katika mkutano wa Biden-Erdogan utakaofanyika Brussels, ambao Rais Erdogan amekuwa akiungojea kwa miezi kadhaa kwa matumaini makubwa.
Mnamo Alkhamisi, ‘Israel’ na Palestina zilihakikisha kuwa zimekubaliana kwa kauli moja juu ya usitishaji wa mapigano, ambapo Raisi wa Amerika Joe Biden aliukaribisha kwa kuwa ni “fursa ya kweli ya kupiga hatua” kuelekea amani ya kudumu katika Mashariki ya Kati.
Sisi, vijana wa Kiislamu wa Magharibi, tumefanya kila kitu ndani ya uwezo wetu kuzuia uvamizi. Utawaona maelfu ya vijana wa Kiislamu wakilaani, kuandamana, wakitumia majukwaa yao ya mitandao ya kijamii, hata kufikia kufukuzwa mashuleni kwa msimamo wao wa kutoomba radhi.
Wengi wanaendelea kuangalia kwa hofu mauwaji ya watu wengi yanayofanyika Palestina. Kile kilichoanzia Sheikh Jarrah na kuendelea al-Quds kwa kushambuliwa Msikiti wa al-Aqsa kimewashitua wengi duniani kote.
Waziri Mkuu wa Delhi Arvind Kejriwal siku ya Alhamisi alisema majimbo kadhaa yaliyo tangaza zabuni mbali mbali kununua chanjo ya ugonjwa wa UVIKO-19 kutoka nje ya nchi inajenga picha mbaya kwa India ulimwenguni.
Vikosi kutoka idara ya Huduma za Usalama ya Taifa ya kitengo Maalum cha Huduma cha Urusi vimevamia nyumba ya Ndugu Nabi Rahimov na kisha kumuuwa, kwa madai ya kukataa kukamatwa.
Tokea siku za mwisho za Ramadhan wakati watu wengi kote duniani wakitazama picha za kuogofya huku vikosi vya Kizayuni vikivamia eneo la al-Aqsa na walowezi wa Kizayuni wakijaribu kuwafurusha wakaazi katika Sheikh Jarrah, mambo sasa yamepamba moto na kuwa mzozo kamili wakati umbile la Kiyahudi sasa likiivamia Gaza.