Muungano wa Ulaya Unang'ang'ana Kukabiliana na Janga la Kiuchumi la Covid-19
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Akihutubia bunge la Ulaya Jumatano 27 Mei 2020, Rais wa Tume ya Ulaya Ursula Von der Leyen alipendekeza kwamba Muungano wa Ulaya uchukuwe deni la €750 Bilioni ilikupeana €500 Bilioni kama ruzuku na €250 Bilioni