Dola ya Kitaifa ndiyo Kikwazo Kikubwa Zaidi katika Kulinda Heshima…
Jumanne, 3 Rajab 1447 - 23 Disemba 2025
Waziri wa Mambo ya Nje na Naibu Waziri Mkuu Ishaq Dar alilaani vikali tukio ambapo Waziri Mkuu wa Bihar Nitish Kumar alivua hijabu ya mwanamke wa Kiislamu Nusrat Parveen katika hafla ya serikali, akilitaja kuwa ‘la kuchukiza sana’. Dar alielezea tukio hilo kama la aibu, akisema lilionyesha haja ya haraka ya kulinda haki za wachache na kupunguza wimbi linaloongezeka la chuki dhidi ya Uislamu.
Ukandamizaji Unaoongezeka wa Marekani dhidi ya Mashirika ya Kiislamu -…
Katika hatua ya kushangaza wiki hii, Gavana wa Texas Greg Abbott alitangaza Baraza la Mahusiano…
Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa…
Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) imethibitisha kifo cha Fouad Saeed Abdulkadir, raia…
Maombolezo ya Rakhmatov Shukhratjon Mmoja wa Wanaume Waliotikisa Misingi ya…
Kwa huzuni na majonzi makubwa, tunaomboleza kwa Ummah mzima wa Kiislamu, na hasa kwa Waislamu…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Yamzuru Mbunge Ibrahim Mneimneh
Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon, unaojumuisha Dkt. Muhammad Jaber, Mkuu wa Kamati…
Kipindi cha Tarique Rahman: Purukushani ya Kisiasa Kutoka kwa Mfumo…
Huku Bangladesh ikiingia katika awamu muhimu ya kabla ya uchaguzi, kutangazwa kwa kurudi kwa Tarique…




