Maumbile ya Mahusiano kati ya Uingereza na Urusi
Jumatano, 29 Dhu al-Hijjah 1446 - 25 Juni 2025
Maumbile ya mahusiano kati ya Uingereza na Urusi yamekuwa makali na yenye taharuki tangu karne ya 18, na uadui wa wazi na dhahiri kati yao. Kwa mfano, Dmitry Medvedev, Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi, alisema mnamo Aprili 21, 2023, "Uingereza daima imekuwa, na sasa, na itakuwa adui yetu wa milele. Angalau hadi wakati ambapo kisiwa chao chenye majivuno kitazama ndani ya shimo la bahari kutokana na wimbi lililochochewa na mfumo wa kivita wa Urusi."
Ongezeko la Wanamgambo nchini Sudan Linasonga Kaskazini!
Tangu Ijumaa, tarehe 27/6/2025, vyombo vya habari vimeripoti kuwa Rais wa Eritrea Isaias Afwerki amekubali…
Jibu la Swali: Uvamizi wa Umbile la Kiyahudi dhidi ya…
Al Arabiya ilichapisha kwenye tovuti yake mnamo tarehe 27/6/2025: "Vyanzo vinne vyenye taaarifa vilisema kuwa…
Kuibuka kwa Miungano Miwili Mipya ya Kijeshi katika Mashariki ya…
Muungano kati ya Pakistan, Uturuki na Azerbaijan umekuwa ukichukua umbo kwa utaratibu uliopangwa, tangu viongozi…
Bajeti Mpya ya Misri ni Kati ya Tarakimu Zinazopotosha na…
Mnamo tarehe 16 Juni 2025, Mbunge wa Misri Diaa El-Din Dawood alipinga rasimu ya bajeti…
Kuna Tofauti Kubwa kati ya Utu chini ya Uislamu na…
Kamati ya Kuu ya Mitihani ya Cheti cha Sudan ilitoa wito kwa jumuiya ya kimataifa…