Jumapili, 14 Dhu al-Hijjah 1447 | 2026/05/31
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Msikose Fursa ya Kuunda Mfumo Mpya wa Kimataifa, Enyi Waislamu — Nyinyi Ndio Watu Wake na Mnaliweza hilo Kupitia Itikadi Yenu Tukufu

Msikose Fursa ya Kuunda Mfumo Mpya wa Kimataifa, Enyi Waislamu…

Ijumaa, 5 Dhu al-Hijjah 1447 - 22 Mei 2026

Hivi majuzi, Rais wa Urusi Vladimir Putin alitembelea China, na mwishoni mwa ziara hiyo taarifa ya pamoja ya zaidi ya nukta arubaini ilitolewa. Ndani yake, nchi hizo mbili zilitangaza mikataba na makubaliano kadhaa. Hata hivyo, kinachoonekana katika taarifa hiyo ni wito wa nchi zote mbili wa mpangilio mpya wa ulimwengu wa nchi nyingi. Pia inaeleweka kwamba ziara ya Putin nchini China ilikuja baada ya ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China, na baada ya ziara ya Putin kukamilika ilitangazwa kwamba rais wa China anakusudia kutembelea Korea Kaskazini.

Afisi ya Habari

Msikose Fursa ya Kuunda Mfumo Mpya wa Kimataifa, Enyi Waislamu — Nyinyi Ndio Watu Wake na Mnaliweza hilo Kupitia Itikadi Yenu Tukufu

Msikose Fursa ya Kuunda Mfumo Mpya wa Kimataifa, Enyi Waislamu — Nyinyi Ndio Watu Wake na Mnaliweza hilo Kupitia Itikadi Yenu Tukufu

Ijumaa, 5 Dhu al-Hijjah 1447 - 22 Mei 2026

Hivi majuzi, Rais wa Urusi Vladimir Putin alitembelea China, na mwishoni mwa ziara hiyo taarifa ya pamoja ya zaidi ya nukta arubaini ilitolewa. Ndani yake, nchi hizo mbili zilitangaza mikataba na maku...

Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho Sera ya Ufukarishaji: Zawadi ya Idd al-Adha kutoka kwa Watawala kwa Watu wa Yemen

Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho Sera ya Ufukarishaji: Zawadi ya Idd al-Adha kutoka kwa Watawala kwa Watu wa Yemen

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Serikali ya Shaea Al-Zandani mnamo Jumanne, 19/05/2026, ilianzisha hatua mpya ya kiuchumi ambapo ilipandisha bei ya dolari ya ushuru wa forodha kwa zaidi ya 100%, kutoka riyali 750 hadi riyali 1,550, ...

Habari za Dawah

Pongezi kwa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Pongezi kwa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Kutoka kwa Mtume (saw) ambaye amesema: «إِنَّ أَعْظَمَ الْأَيَّامِ عِنْدَ اللهِ يَوْمُ النَّحْرِ» “Hakika siku tukufu zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu ni siku ya Arafah”, basi kwa mnasaba huu uliobarikiw...

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumanne, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 26 Mei 2026

Pongezi kutoka Kote Ulimwenguni kwa Mnasaba wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H ...

Hizb ut Tahrir / Amerika: Ujumbe wa Idd al-Adha 1447!

Hizb ut Tahrir / Amerika: Ujumbe wa Idd al-Adha 1447!

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Katika Idd hii iliyobarikiwa, Hizb ut Tahrir / Amerika inatoa salamu zake za dhati kwenu na wapendwa wenu. Mwenyezi Mungu akubali amali zenu njema, atupe rehema zake, na atulinde kutokana na adhabu ya...

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H

Jumatano, 10 Dhu al-Hijjah 1447 - 27 Mei 2026

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Pongezi za Kitengo cha Wanawake kwa Mnasaba wa Ujio wa Idd ul-Adha Iliyobarikiwa 1447 H ...

Habari

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Watawala wa Pakistan Wanatoa Kile Ambacho Marekani Imekuwa Ikikiota Siku Zote na Kuiondoa Katika Hatari Yake

Jumanne, 9 Dhu al-Hijjah 1447 - 26 Mei 2026

Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza mnamo Jumamosi, Mei 23, 2026, kwamba makubaliano na Iran yalikuwa karibu kukamilika, akisema, “Makubaliano yamejadiliwa kwa kiasi kikubwa, yanakaribia kukamili...

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Pakistan yenye Nyuklia Ni Sehemu Isiyofutika ya Ummah wa Kiislamu, Yenye Uwezo wa Matokeo Katika Kiwango cha Kimataifa, Baada ya Kusimamishwa Khilafah Rashida

Jumapili, 7 Dhu al-Hijjah 1447 - 24 Mei 2026

Kitengo cha vyombo vya habari cha vikosi vya jeshi vya Pakistan, Inter-Services Public Relations (ISPR), kilitoa taarifa kwa vyombo vya habari mnamo tarehe 17 Mei 2026, kikijibu kuwepo tishio kutoka k...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu