Msikose Fursa ya Kuunda Mfumo Mpya wa Kimataifa, Enyi Waislamu…
Ijumaa, 5 Dhu al-Hijjah 1447 - 22 Mei 2026
Hivi majuzi, Rais wa Urusi Vladimir Putin alitembelea China, na mwishoni mwa ziara hiyo taarifa ya pamoja ya zaidi ya nukta arubaini ilitolewa. Ndani yake, nchi hizo mbili zilitangaza mikataba na makubaliano kadhaa. Hata hivyo, kinachoonekana katika taarifa hiyo ni wito wa nchi zote mbili wa mpangilio mpya wa ulimwengu wa nchi nyingi. Pia inaeleweka kwamba ziara ya Putin nchini China ilikuja baada ya ziara ya Rais wa Marekani Donald Trump nchini China, na baada ya ziara ya Putin kukamilika ilitangazwa kwamba rais wa China anakusudia kutembelea Korea Kaskazini.
Ufisadi wa Mfumo Huzalisha Ufisadi katika Masuluhisho Sera ya…
Serikali ya Shaea Al-Zandani mnamo Jumanne, 19/05/2026, ilianzisha hatua mpya ya kiuchumi ambapo ilipandisha bei…
Salamu za Idd Idd ni Wakati Ambapo Furaha na Huzuni…
Siku hizi Idd al-Adha inafika, ambapo furaha na huzuni zimechanganyika. Furaha katika mwitikio wa waumini…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 601
Vichwa Vikuu vya Toleo 601
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir Imezindua tena…
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwatangazia wafuasi na wageni wake katika…
Pongezi kutoka kwa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa…
Wapendwa ndugu na dada: Idd hii inakuja huku uvamizi wa Mayahudi, unaoungwa mkono na Amerika…




