Jumatano, 04 Rajab 1447 | 2025/12/24
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Dola ya Kitaifa ndiyo Kikwazo Kikubwa Zaidi katika Kulinda Heshima na Maisha ya Waislamu Iwe nchini India au Gaza

Dola ya Kitaifa ndiyo Kikwazo Kikubwa Zaidi katika Kulinda Heshima…

Jumanne, 3 Rajab 1447 - 23 Disemba 2025

Waziri wa Mambo ya Nje na Naibu Waziri Mkuu Ishaq Dar alilaani vikali tukio ambapo Waziri Mkuu wa Bihar Nitish Kumar alivua hijabu ya mwanamke wa Kiislamu Nusrat Parveen katika hafla ya serikali, akilitaja kuwa ‘la kuchukiza sana’. Dar alielezea tukio hilo kama la aibu, akisema lilionyesha haja ya haraka ya kulinda haki za wachache na kupunguza wimbi linaloongezeka la chuki dhidi ya Uislamu.

Afisi ya Habari

Ukandamizaji Unaoongezeka wa Marekani dhidi ya Mashirika ya Kiislamu - Toleo la Texas

Ukandamizaji Unaoongezeka wa Marekani dhidi ya Mashirika ya Kiislamu - Toleo la Texas

Ijumaa, 28 Jumada I 1447 - 19 Disemba 2025

Katika hatua ya kushangaza wiki hii, Gavana wa Texas Greg Abbott alitangaza Baraza la Mahusiano ya Kiislamu na Kiamerika (CAIR) na Ikhwan al-Muslimin kama “mashirika ya kigaidi ya kigeni.” Tangazo lak...

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa Mkasa

Kifo cha Imam Fouad Saeed Abdulkadir: Pindi Hifadhi Inapogeuka Kuwa Mkasa

Jumanne, 3 Rajab 1447 - 23 Disemba 2025

Idara ya Uhamiaji na Forodha ya Marekani (ICE) imethibitisha kifo cha Fouad Saeed Abdulkadir, raia wa Eritrea mwenye umri wa miaka 46, ambaye alifariki tarehe 14 Disemba akiwa kizuizini mwa ICE katika...

Matoleo

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Enyi Waislamu: Kufunga Vyumba vya Ibada ni Shambulizi kwa Uislamu na Lazima Kukabiliwe kwa Upinzani Mkali, wa Pamoja wa Kisiasa

Jumapili, 16 Jumada II 1447 - 07 Disemba 2025

Baada ya mwelekeo hasi wa kisiasa kwenye vyumba vya ibada, idara ya Chuo Kikuu cha Copenhagen iliamua mwishoni mwa Novemba kufunga kile kinachoitwa “vyumba vya utulivu,” ambavyo Waislamu walikuwa waki...

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Sera ya Elimu Baina ya Kufeli kwa Dola ya Kisasa na Ruwaza ya Khilafah Rashida

Jumatano, 20 Rabi' II 1447 - 12 Novemba 2025

Sera ya elimu nchini Tunisia, kama moja ya nguzo za dola ya kisasa, imefeli, na mageuzi yanayorudiwa rudiwa hayajafanikiwa. Watoto wetu wamekuwa chini kabisa katika orodha ya kimataifa, na shule na vy...

Habari za Dawah

DVD ya Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Toleo 471 – 570)

DVD ya Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Toleo 471 – 570)

Jumapili, 1 Rajab 1447 - 21 Disemba 2025

Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir inafuraha kuwasilisha kwa wafuasi na wageni wa kurasa za Afisi Kuu ya Habari DVD mpya yenye kichwa: Gazeti la Al-Rayah Sehemu ya 7 (Matoleo 471-570) ...

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir (Imejadidishwa)

Ijumaa, 9 Rabi' II 1442 - 17 Januari 2025

DVD za Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ...

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

DVD “Amali za Kimataifa za Hizb ut Tahrir katika Kuinusuru Gaza!”

Ijumaa, 21 Jumada II 1447 - 12 Disemba 2025

Kwa kuzingatia matendo ya kishujaa ya mujahidina katika ardhi iliyobarikiwa ya Palestina mnamo 7 Oktoba 2023, chini ya kauli mbiu ya “Kimbunga cha Al-Aqsa,” dhidi ya umbile nyakuzi la Kizayuni, ambalo...

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Miongoni mwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir Mwalimu Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid)

Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi Miongoni mwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir Mwalimu Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid)

Ijumaa, 21 Jumada II 1447 - 12 Disemba 2025

Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilayah Jordan inaomboleza kifo cha mwalimu mtukufu, Ustadh Ahmad Muhammad Al-Saharin (Abu Khalid), mwanachama wa Hizb ut Tahrir, aliyefariki Jumatano, 10 Disemba 202...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu