Njama Endelevu, Iliyoimarishwa ya Kimataifa ya Kuzuia Mapinduzi ya ash-Sham…
Jumatano, 14 Muharram 1447 - 09 Julai 2025
Mwenyezi Mungu (swt) alipowapa watu wa ash-Sham baraka za kumwangusha dhalimu mhalifu wa Syria, asubuhi ya tarehe 8 Disemba 2024, licha ya mipango na njama kubwa zilizopangwa na ulimwengu wote wa Magharibi, ukiongozwa na Marekani, ili kuyabatilisha mapinduzi na kuyazuia yasifikie lengo lake, ulikuwa ni utashi, azma, na Iman ya watu ash-Sham, kwa zana zao hafifu na za kawaida, ambapo hatimaye walishinda dhidi ya jumuiya ya kimataifa.
Je! Uongozi wa Pakistan Ulipotezaje Hadhi Yake Mbele ya India…
Uongozi wa kisiasa na kijeshi wa Pakistan ulipoteza ushindi uliopatikana na mwewe wa Jeshi lake…
Usaliti wa Watawala wa Pakistan na Kukumbatia Kwao Uhalalishaji wa…
Marekani ya Trump sasa inajitahidi kuunda "Mashariki ya Kati Mpya," ambayo inatumikia maslahi ya Marekani…
Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 555
Vichwa Vikuu vya Toleo 555
Mauaji Mapya mjini Gaza: Uungwana wa Ummah Utaamshwa Lini?!
Licha ya kuongezeka kwa wito wa kusitisha vita vya Mayahudi mjini Gaza, jeshi la Mayahudi…
Ajali za Barabarani nchini Misri: Ushahidi Tosha wa Kukosekana kwa…
Katika tukio ambalo limekuwa la kusikitisha, watu waliamka siku chache zilizopita na kushuhudia maafa mengine…