Alhamisi, 01 Muharram 1447 | 2025/06/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Makala Mpya

Serikali ya Hindutva ya India Inaendelea Kutumia Shirika la Kitaifa la Uchunguzi kwa Kazi yake Chafu

Serikali ya Hindutva ya India Inaendelea Kutumia Shirika la Kitaifa…

Jumatatu, 27 Dhu al-Hijjah 1446 - 23 Juni 2025

Mnamo tarehe 14 Juni 2025, Shirika  la Kitaifa la Uchunguzi (NIA) lilifanya uvamizi ulioratibiwa katika maeneo matatu huko Bhopal, Madhya Pradesh, na miwili huko Jhalawar, Rajasthan, kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir (HuT). Operesheni hiyo ililenga kukusanya ushahidi zaidi dhidi ya HuT. NIA ilidai kuwa uvamizi huu ulisababisha kukamatwa kwa "vifaa vya kidijitali na nyenzo za hatia" (vitabu na vifaa vya kuandikia tunavyodhania). Kabla ya uvamizi huu, Jharkhand (jimbo) ATS ilikuwa imewaweka kizuizini watu wawili kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir. Serikali ya India ilipiga marufuku kinyume cha sheria Hizb ut Tahrir mnamo tarehe 10 Oktoba 2024, ikitaja...

Afisi ya Habari

Matoleo

Habari za Dawah

Vyombo vya Usalama katika Mji wa Al-Qadarif Vyawakamata Mashababu wa Hizb ut Tahrir vikiliunga mkono umbile la Kiyahudi!

Vyombo vya Usalama katika Mji wa Al-Qadarif Vyawakamata Mashababu wa Hizb ut Tahrir vikiliunga mkono umbile la Kiyahudi!

Ijumaa, 24 Dhu al-Hijjah 1446 - 20 Juni 2025

Katika hotuba ya hadhara iliyotolewa na Mashababu wa Hizb ut Tahrir katika mji wa Al-Qadarif, kwenye soko la Al-Qadarif karibu na hospitali ya meno, mnamo siku ya Alhamisi, tarehe 23 Dhul-Hijjah 1446 ...

Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya Tawala, Kuipiga Mabomu Iran na Kurudi Salama Bila Kutunguliwa na Tawala hizi Hata kwa Risasi Moja!

Ni Dhambi Kubwa Kwa Ndege za Mayahudi Kuvuka Anga ya Tawala, Kuipiga Mabomu Iran na Kurudi Salama Bila Kutunguliwa na Tawala hizi Hata kwa Risasi Moja!

Jumatatu, 20 Dhu al-Hijjah 1446 - 16 Juni 2025

Trump alisema katika chapisho kwenye jukwaa la Kijamii la ‘Truth’: ["Iran na Israel wanapaswa kufanya makubaliano, na watafanya makubaliano, kama vile nilivyozifanya India na Pakistan kufanya." Aliend...

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (466)

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (466)

Alhamisi, 1 Dhu al-Qi'dah 1446 - 01 Mei 2025

Jarida la Al-Waie: Vichwa Vikuu vya Habari vya Toleo (466) ...

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Jeshi la Anga la Pakistan lazima liongoze kampeni ya anga (Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi na Makruseda!

Hizb ut Tahrir/ Wilayah Pakistan: Jeshi la Anga la Pakistan lazima liongoze kampeni ya anga (Operesheni Kimbunga cha Al-Aqsa) dhidi ya umbile la Kiyahudi na Makruseda!

Jumatatu, 6 Dhu al-Hijjah 1446 - 02 Juni 2025

Jeshi la India lilithibitisha kwa mara ya kwanza mnamo 31 Mei 2025 kwamba lilikuwa limepoteza idadi isiyojulikana ya ndege za kivita katika mapigano na Pakistan mnamo Mei mwaka jana. Enyi mwewe wa nch...

Habari

Wadhifa wa Rais eneo la Asia ya Kati ni Sawia na Ufalme

Wadhifa wa Rais eneo la Asia ya Kati ni Sawia na Ufalme

Alhamisi, 1 Muharram 1447 - 26 Juni 2025

Shirika la habari la Radio Liberty liliripoti mnamo tarehe 29 Mei: "Putin alifanya mazungumzo na Rustam Emomali, mwenyekiti wa bunge kuu la Tajikistan. Katika mfumo wa ziara yake rasmi jijini Moscow, ...

Ziara ya Usaliti

Ziara ya Usaliti

Jumatano, 29 Dhu al-Hijjah 1446 - 25 Juni 2025

Katika wakati ambapo ulimwengu wa Kiislamu unavuja damu—kuanzia Gaza hadi Kashmir, hadi barabara za Tehran—ziara ya Jenerali Asim Munir kwa Rais wa Marekani Donald Trump si tu kwamba ni uziwi bali ni ...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu