Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir: Angazo la…
Ijumaa, 13 Rajab 1447 - 02 Januari 2026
Katika mwezi mtukufu wa Rajab wa mwaka huu, 1447 H (2026 M), tunakumbuka kumbukumbu ya miaka 105 ya kuvunjwa kwa Dola ya Kiislamu na wasaliti wa Kiarabu na Kituruki, vibaraka wa wakoloni makafiri. Dola hii ilianzishwa na Bwana wa Mitume, Muhammad (saw), na Maswahaba zake Watukufu (ra). Mfumo wa utawala wa Kiislamu (Khilafah) uliondolewa mnamo tarehe 28 Rajab 1342 H, sawia na 3 Machi 1924 M, mikononi mwa mhalifu Mustafa Kemal.
Wanawake wa Sumatra: Sio Tu Wahanga wa Mafuriko
Maafa ya mafuriko katika kisiwa cha Sumatra yamesababisha vifo vya watu 1,071 kufikia 19 Disemba…
Utawala wa Uovu na Ghasia Utadumu kwa Muda Apendao Mwenyezi…
Muhula wa bunge ulitarajiwa kuisha Novemba 2026, lakini rais alivunja bunge baada ya wabunge wanaounga…
Tishio la Kupiga Marufuku Hizb ut Tahrir nchini Australia
Kabla ya waathiriwa wa janga la Bondi hata kuzikwa, watetezi wanaounga mkono Uzayuni katika nchi…
Dola ya Kitaifa ndiyo Kikwazo Kikubwa Zaidi katika Kulinda Heshima…
Waziri wa Mambo ya Nje na Naibu Waziri Mkuu Ishaq Dar alilaani vikali tukio ambapo…
Ukandamizaji Unaoongezeka wa Marekani dhidi ya Mashirika ya Kiislamu -…
Katika hatua ya kushangaza wiki hii, Gavana wa Texas Greg Abbott alitangaza Baraza la Mahusiano…




