Serikali ya Hindutva ya India Inaendelea Kutumia Shirika la Kitaifa…
Jumatatu, 27 Dhu al-Hijjah 1446 - 23 Juni 2025
Mnamo tarehe 14 Juni 2025, Shirika la Kitaifa la Uchunguzi (NIA) lilifanya uvamizi ulioratibiwa katika maeneo matatu huko Bhopal, Madhya Pradesh, na miwili huko Jhalawar, Rajasthan, kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir (HuT). Operesheni hiyo ililenga kukusanya ushahidi zaidi dhidi ya HuT. NIA ilidai kuwa uvamizi huu ulisababisha kukamatwa kwa "vifaa vya kidijitali na nyenzo za hatia" (vitabu na vifaa vya kuandikia tunavyodhania). Kabla ya uvamizi huu, Jharkhand (jimbo) ATS ilikuwa imewaweka kizuizini watu wawili kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir. Serikali ya India ilipiga marufuku kinyume cha sheria Hizb ut Tahrir mnamo tarehe 10 Oktoba 2024, ikitaja...
Wadhifa wa Rais eneo la Asia ya Kati ni Sawia…
Shirika la habari la Radio Liberty liliripoti mnamo tarehe 29 Mei: "Putin alifanya mazungumzo na…
Ziara ya Usaliti
Katika wakati ambapo ulimwengu wa Kiislamu unavuja damu—kuanzia Gaza hadi Kashmir, hadi barabara za Tehran—ziara…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Ustadh Hassan Nouair
Hizb ut Tahrir katika Wilaya ya Tunisia inaomboleza kifo cha mmoja wa watu wake miongoni…
Tanzia ya Mbebaji Ulinganizi: Mabrouk Ben Nasser
Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia inaomboleza kwa huzuni na majonzi makubwa kuondokewa na ndugu…
Ni kutokana na Usaliti wa Watawala Vibaraka wa Ulimwengu wa…
Hizb ut Tahrir / Wilayah Bangladesh, leo (Juni 20, 2025) Ijumaa baada ya swala ya…