Al-Waqiyah TV: Je, hili linakutosheleza Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu…
Jumanne, 11 Safar 1447 - 05 Agosti 2025
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Malik (ra) kuwa amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw): “Hajaamini yule ambaye analala tumbo lake likiwa limeshiba na hali ya kuwa jirani yake ana njaa na yeye anajua.” Basi vipi kuhusu mji wa Gaza ambao watu wake wanakufa njaa, huku pambizoni mwake kuna ardhi zilizo jaa neema na kheri nyingi, chini ya utawala wa watawala walioisaliti, na kula njama dhidi yake pamoja na maadui zake, wakafunga mipaka na kuziba midomo ya wale walioomba msaada na nusra. Hawakuridhika na kuisaliti tu, walizuia nusra yake na wakajitahidi kuizingira, wakiinyima chakula na dawa.
Marufuku ya Vitabu ya Serikali ya Kibaniani: Jaribio la Kufuta…
Katika onyesho la wazi la ukosefu wa usalama na unafiki, serikali inayoitwa ya “kidemokrasia” ya…
Wamisri Wawili Wapotezwa Kwa Nguvu Baada ya Kuwataka Maafisa wa…
Vijana wawili wametoweka baada ya video yao kusambaa mitandaoni inayoonyesha wakivamia kituo cha polisi katika…
Uzbekistan Yaanzisha Mashtaka ya Jinai kwa Kufundisha Uislamu kwa Watoto
Bunge la Seneti la Uzbekistan limeidhinisha sheria inayotoa adhabu ya uhalifu kwa kufundisha watoto dini…
Enyi Waislamu: Je, bado mna matumaini kwa Watawala wenu Ruwaibidha?!
Umbile la Kiyahudi bado linatekeleza uhalifu wake dhidi ya watu wa Gaza, hivyo makumi ya…
Sio Taarifa ya Bogotá wala Tangazo la New York litaweza…
Wakati sera ya mauaji ya halaiki na njaa huko Gaza ikiendelea huku ukatili wake wote…