Alhamisi, 09 Rabi' al-awwal 1446 | 2024/09/12
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Je, Uislamu Unaweza Kuwepo bila ya Qur’an na Sunnah Ewe Erdoğan?

Akizungumza katika Mkutano wa Baraza Pana la Ushauri Mkoa wa Istanbul la Chama cha AK uliofanyika katika Haliç Congress Center, Rais Recep Tayyip Erdoğan alisema, “Hakuwezi kuwa na fikra ya Alevi bila ya Mwenyezi Mungu, Muhammad na Ali. Hakuna ubinadamu kwa wale waliojengwa juu ya uchochezi mpotovu.” (03.09.2022 Yeni Şafak)

Soma zaidi...

Kundi la Tahrir Al-Sham Limemteka Nyara Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria Nasser Sheikh Abdul Hai

Mnamo Alhamisi, tarehe 1/9/2022, Vikosi vya Usalama vya Hay'at Tahrir Al-Sham vilimteka nyara mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir/Wilaya ya Syria, Ustadh Nasser Sheikh Abdul Hai, mbele ya nyumba yake katika mjini wa Atarib; hii ilikuwa ni baada ya kauli zake dhidi ya wito wa Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki, anayeutaka upinzani, kufanya maridhiano na dhalimu wa Al-Sham, na msimamo wa serikali ya Uturuki kuhusu utawala wa Bashar Al-Assad.

Soma zaidi...

Vichwa vya Habari 07/09/2022

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza Liz Truss amechukua nafasi ya Boris Johnson kama waziri mkuu wa Uingereza baada ya Chama cha Conservative cha Uingereza kupiga kura ya kumfanya kiongozi wa serikali. Alimshinda Waziri wa Fedha wa zamani Rishi Sunak, kwa kuungwa mkono na 57% ya wanachama wa Conservative.

Soma zaidi...

Kifo cha Kishahidi cha Mowlavi Ansari ni Muendelezo wa Mauaji ya Ajabu ya Mitandao ya Kijasusi!

Mowlavi Mujib-ur-Rahman Ansari, mzungumzaji fasaha na khatibu wa Msikiti wa Gazargah, aliuawa shahidi katika mlipuko mmoja pamoja na watu 17, huku makumi ya wengine wakijeruhiwa ndani ya Msikiti wa Gazargah wa mkoa wa Herat. Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Afghanistan inalaani vikali kabisa shambulizi hili la kikatili na kitendo cha kigaidi, ikilizingatia kuwa ni kinyume na ubinadamu na mafundisho ya Shariah.

Soma zaidi...

Ripoti ya Umoja wa Mataifa kuhusu Waislamu wa Uyghur

Afisi ya Haki za Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa ripoti kuhusu uzito wa "ukiukwaji wa haki za binadamu" dhidi ya Waislamu wa Uyghur unaofanywa na China. Afisi ya Kamishna Mkuu wa Umoja wa Mataifa wa Haki za Kibinadamu (OHCHR) inasema kuwa imepata ushahidi wa kutosha wa mateso na ukiukwaji mwingine wa haki za binadamu ambao unaweza kuelezewa kama "jinai dhidi ya binadamu".

Soma zaidi...
Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu