Serikali ya Denmark Yataka Kuutia Hatiani Wito wa Ukombozi wa Palestina
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Mei 2021, Hizb ut Tahrir / Denmark ilifanya maandamano mbele ya ubalozi wa Misri jijini Copenhagen dhidi ya jinai zinazoendelea za uvamizi wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina.